MSD yapongezwa kwa maboresho ya huduma mkoani Kagera
Bohari ya Dawa (MSD) imepongezwa kwa kuimarisha mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya mkoani Kagera, ambao umepunguza malalamiko ya upungufu wa bidhaa za afya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa…
Jumla ya miti milioni 686.24 imepandwa katika halmashauri mbalimbali nchini
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amesema jumla miti milioni 686.24 iliyopandwa katika halmashauri mbalimbali nchini imestawi. Amesema kuwa miti iliyopandwa na…
Wananchi pambanieni fursa za miradi mbalimbali ya umeme
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme inapotekelezwa ili kuepuka gharama inayoweza kutokea pale miradi inapokuwa imekamilika.…
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza shwangwe miaka 48 ya CCM
Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza Wananchi mbalimbali katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo February 05,2025, katika Maadhimisho ya Miaka 48 ya…
Polisi kata Ikoma avishwa cheo cha sajenti kwa utendaji bora wa kazi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Pius Lutumo, kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali wa Polisi Camilius Wambura, amemvisha cheo…
Alphonso Davies aongeza mkataba hadi 2030
Alphonso Davies amesaini mkataba mpya na Bayern Munich, utakaomweka katika klabu hiyo hadi 2030. Licha ya kutakiwa na Real Madrid, mchezaji huyo wa kimataifa wa Canada ameweka mustakabali wake kwa…
Afisa wa kijeshi wa Hamas aliye uawa na Israel afanyiwa mazishi makubwa huko Gaza
Maelfu ya watu kutoka Deir Al-Balah katikati mwa Ukanda wa Gaza wameshiriki katika mazishi ya afisa mkuu katika tawi la kijeshi la Hamas, Brigedi za Al-Qassam. Kifo cha Ghazi Abu…
Marekani yasimamisha ufadhili kwa jeshi la kimataifa linalokabiliana na magenge ya Haiti
Marekani imesimamisha michango yake ya kifedha kwa mfuko wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya ujumbe wa kimataifa wa usaidizi wa usalama nchini Haiti, msemaji wa Umoja wa Mataifa alisema…
Zelensky adai yupo tayari kufanya mazungumzo ya amani na Putin
Kiongozi wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema katika mahojiano yaliyochapishwa Jumanne kwamba atakubali kufanya mazungumzo na Vladimir Putin wa Urusi ili kumaliza karibu miaka mitatu ya vita. Maoni yake yalikuja huku…
Trump anasema amewapa washauri maagizo kuwa Iran ifutiliwe mbali iwapo itamuua
Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumanne alisema kuwa anapanga kurejesha kile alichokiita "shinikizo la juu"la sera dhidi ya Iran kwa madai kuwa inajaribu kutengeneza silaha za nyuklia na…