AUDIO: Maswali 9 aliyowahi kuulizwa Marehemu Thomas Mashali na kuyajibu
Ni maswali ambayo Marehemu bondia Thomas Mashali aliulizwa na mashabiki wa mchezo wa ngumi Tanzania kuhusu ishu zake mbalimbali ikiwemo kupigana na bondia Francis Cheka Morogoro, bonyeza play hapa chini…
TOP 10: Wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa duniani, Afrika ni mmoja tu
Staa wa kimataifa wa Wales anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Gareth Bale ameingia katika TOP 3 ya wachezaji wa soka wanaolipwa pesa ndefu zaidi duniani ambapo ameingia katika list hiyo…
VIDEO: Mambo sita aliyoyazungumza Rais Magufuli baada ya kufika Kenya
Rais Magufuli leo October 31 2016 amewasili nchini Kenya kwa ajili ya ziara ya kiserikali ya siku mbili ambapo kabla ya Mkutano na waandishi wa habari leo October 31 2016…
VIDEO: Kamanda Sirro alipoulizwa taarifa za kuuawa bondia Thomas Mashali
Leo October 31 2016 watanzania hasa wapenzi wa mchezo wa ngumi wameamka na taarifa za kusikitisha kuhusu kifo cha bondia Thomas Mashali ambaye inadaiwa ameuawa kwa kupigwa na watu wasiojulikana…
Maneno aliyoyasema Rais Magufuli akiwa nchini kenya leo October 31 2016
Rais Magufuli ambaye yuko nchini Kenya kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili ambapo kabla ya Mkutano na waandishi wa habari leo October 31 2016 amepokelewa rasmi kwa kupigiwa mizinga…
Spika kataja vitu vitakavyojadiliwa kwenye bunge linaloanza kesho
Kesho Nov 1 2016 tunatarajia kuanza kuzisikia headline za kutokea bungeni Dodoma ambapo vikao rasmi vya mkutano wa tano wa bunge la 11 utaanza. Leo Spika wa bunge Job Ndugai…
Kitu Faraja Nyalandu ameandika baada ya kuona Miss TZ 2016 anaandamwa
Baada ya shindano la Miss Tanzania 2016 kufikia kileleni October 29 2016 Mwanza na mshindi kupatikana, yalizuka maneno juu ya mshindi Diana Edward Loy yanayohusu umri na elimu yake. Leo October…
PICHA 6: Rais Magufuli alivyowasili Nairobi nchini Kenya
Leo October 31 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliondoka nchini kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo…
PICHA 3: Rapper Mabeste amefunga ndoa
Msanii wa Bongofleva William Ngowi ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la Mabeste ameamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu na mzazi mwenzake Liser Fickensher, Mabeste amefunga ndoa mpenzi…
PICHA 6: Rais Magufuli alivyoondoka DSM kuelekea Nairobi nchini Kenya
Leo October 31 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameondoka nchini kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo…