AUDIO: Promota Siraji kasimulia kifo cha Bondia Thomas Mashali kilivyotokea
Leo October 31 2016 zimeripotiwa taarifa za kifo cha Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa Tanzania, Thomas Mashali ambapo imeelezwa Marehemu Mashali alifariki usiku wa kuamkia leo maeneo ya Kimara…
PICHA 11: Style za nywele za baadhi ya wachezaji wa timu ya Yanga
Mastaa wa soka ni watu ambao wanapenda kwenda na fashion mbalimbali kuanzia mavazi hadi namna ya unyoaji, kwa upande wa wanasoka tumezoea kumuona mchezaji kama Paul Pogba wa Man United…
Habari Kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania October 31 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/792931105393537024…
BREAKING: Bondia Thomas Mashali afariki Dunia
Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo October 31 2016 maeneo ya Kimara DSM, Taarifa zinadai kuwa alishambuliwa na wananchi baada ya…
Miss Tanzania 2016 ameona kilichosambazwa kuhusu elimu yake, kayasema haya
Baada tu ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la Miss Tanzania mwaka 2016, Mrembo Diana Lukumay alianza kupokea msg za taarifa zilizosambazwa mitandaoni kuonyesha kwamba alifeli kidato cha nne lakini…
Mapya sasa yaibuka mikopo vyuo vikuu, Mkurugenzi Dangote amshangaza Muhongo
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=qb9wznjwU1I ULIKOSA HII AJALI YA BASI NA…
Magazeti ya Tanzania October 31, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 31 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
PICHA 5: Malawi walivyojitokeza kumuona Diamond Platnumz
Ni habari iliyo njema kwa muziki wa Tanzania pale unapoona mwimbaji wake anaalikwa kwenda kutumbuiza kwenye taifa ambalo sio taifa linalotumia lugha ya Kiswahili lakini muziki wa bongofleva umeweza kupenya. Mwimbaji…
VIDEO: Magoli yote matatu ya Yanga vs Mbao FC October 30, Full Time 3-0
October 30 2016 mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara klabu ya Dar es Salaam Young Africans walicheza mchezo wao wa 12 wa Ligi Kuu soka Tanzania bara dhidi…
VIDEO: Magoli ya Chelsea dhidi ya Southampton yaliowapa point tatu
Usiku wa October 30 2016 klabu ya Chelsea ilisafiri kutoka Stamford Bridge hadi St Mary's kucheza dhidi ya wenyeji wao Southampton katika mchezo wao wa 10 wa Ligi Kuu England…