U HEARD: Msanii Abubakar Mzuri adaiwa kufumaniwa na mke wa mtu
October 21, 2016 Ndani ya XXL ya Clouds FM, Mtangazaji Soudy Brown amepiga story na inayedaiwa kuwa ni mke wa msanii maarufu kwa jina la Mjomba. Stori kubwa ni kuhusu…
VIDEO: Vodacom ilivyowatangaza washindi wa kamata mpunga wiki hii
Ni wiki nyingine tena Vodacom kupitia promosheni yake ya kamata mpunga imewakamatisha tena wateja wake kutoka maeneo mbalimbali nchini, ambao wamejishindia mil 1 na mil 5 ni baada ya kushiriki…
Mkurugenzi ampigisha deki Mwalimu Mwanza
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. Moja…
AyoTVMAGAZETI: Vilio ukosefu wa dawa, Matumaini mapya 66,000 waliotoswa Bodi ya Mikopo
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=BojCb4Lgl5k ULIKOSA WALICHOKISEMA WANAFUNZI UDSM BAADA YA…
Magazeti ya Tanzania October 21, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
VIDEO: Genk yaibuka na ushindi dhidi ya Athletic Bilbao, Samatta akitimiza dakika 126
Usiku wa October 20 2016 klabu ya KRC Genk inayochezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta ilishuka katika uwanja wake wa Luminus Arena kucheza…
PICHA 5: Madaktari Bingwa kutoka MOI wamekamilisha upasuaji wa watoto sita Tabora
Jumla ya watoto sita waliozaliwa wakiwa na vichwa vikubwa mkoani Tabora wamefanyiwa upasuaji huku wengine 30 wakipata maelekezo ya jinsi ya kukabiliana na hali hiyo bila ya kuwa mzigo kwa…
VIDEO: Goli la mechi ya Simba vs Mbao FC October 20, Full Time 1-0
October 20 2016 kwa wekundu wa Msimbazi Simba waliwaalika Mbao FC ya Mwanza kucheza mchezo wao wa 10 Ligi Kuu Tanzania bara uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, katika mchezo…
VIDEO: Baadhi ya wanafunzi UDSM walivyofika wizarani kuwasilisha hoja zao kuhusu mikopo
Wakati magazeti ya leo yakitoka na habari iliyosema kuwa wanafunzi wa vyuo 66,000 kukosa mikopo, taarifa hizo zilidai kuwa wanafunzi 88,000 walioomba mikopo kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa…
Utafiti umetaja nchi za Afrika ambazo ni hatari zaidi kutembea na kuendesha baiskeli
Taarifa hii imeripotiwa na BBC ambapo imesema kuwa Shirika la mazingira la Umoja wa mataifa UNEP limesema kati ya watu milioni 1.3 wanaofariki dunia kila mwaka kutokana na ajali za…