Simba imeiadhibu Mbao FC dakika nne kabla ya mchezo kuisha
Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu wa 2016/2017 iliendelea tena Alhamisi ya October 20 2016 kwa wekundu wa Msimbazi Simba waliwaalika Mbao FC ya Mwanza kucheza mchezo wao wa 10…
VideoMPYA: Casso kutoka label ya Ndauka Music kaachia video mpya
Ni October 20, 2016 ambapo Casso Montana kutoka label ya Ndauka Music inayosimamiwa na mwigizaji Rose Ndauka ameachia hii video mpya ya single yake iitwayo Kitonga. Unaweza ukaitazama hapa chini kisha…
Video: Dogo Janja anatarajia kufanya collabo nyingine East Africa
Hit Maker wa Mdundo wa Kidebe na My Life Dogo Janja amewekaa wazi mipango yake mingine baada ya kufanya collabo na wakali kutoka Uganda Radio na Weasel, Dogo Janja ametangaza…
VIDEO: Rose Ndauka alivyotambulisha label yake na msanii wake wa kwanza
NI mwigizaji wa filamu, Rose Ndauka ambae 20, October 2016 anazimilika headlines kwenye mitandao mbalimbali baada ya kutambulisha rasmi label yake mpya Ndauka Music ambayo itasaidia kuinua vipaji vya vijana…
Video: Mo Music anamuangalia nani kama Role Model wake kwa Bongo
Leo October 20 2016 nakukutanisha na hii stori ya mkali kutoka Bongoflevani Mo Music mkali anayezichukua headline kwa sasa kupitia mdundo wake wa Ado Ado, leo Mo Music amelezea ni…
Video: List ya Midundo ya Bongofleva anayoikubali Godzilla
Mkali wa midundo ya Hiphop Godzila amekutana na Ayo TV pamoja na millardayo.com na ametusogezea list ya ngoma kali za Bongoflevani anazozikubali lakini pia ametusogezea Exclusive za wasanii gani wa…
TBT: Picha za Lionel Messi na mkewe Antonella Roccuzzo na historia yao
Moja kati ya mahusiano ya watu maarufu yanayovutia watu wengi ni Lionel Messi na mkewe Antonella Roccuzzo ambaye ni mwanamke ambaye amekuwa nae toka enzi zake za utoto akiwa kwao Rosario…
HEKAHEKA: Mume amuua mke wake kisa mali za urithi za mume wa kwanza..
October 2o, 2016 Kupitia Leo Tena ya Clouds FM imekutana na story ya mwanaume mmoja kutoka Kiwalani jijini Dar es salaam inasemekana amemuua mke wake kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi…
PICHA 3: Muonekano mpya wa Rich Mavoko
Mtu wangu najua umeshaona wasanii au au mastaa mbalimbali wakibadilisha muonekano wa nywele zao basi hii isikupiti mtu wangu mkali kutoka Bongoflevani Rich Mavoko kutoka Lebel ya WCB ameamua kubadilisha muonekano wake…
AyoTV MAGAZETI: 66,000 watoswa mikopo vyuo vikuu, Scoprion nje, ndani, sababu…
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=NNdn4Sp-NBI ULIKOSA HII YA 'SCORPION' KUPANDISHWA KIZIMBANI?…