Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania October 20 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/788942582588010496…
Magazeti ya Tanzania October 20, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
Kama yalikupita makundi ya AFCON 2017
Shirikisho la soka barani Afrika CAF Jumatano ya October 19 2016 lilipanga rasmi makundi ya timu zitakazoshiriki michuano ya AFCON 2017 nchini Gabon, kwa upande wa wakilishi wa ukanda wa…
Lionel Messi kainyanyasa Man City ya Guardiola Nou Camp
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeendelea tena usiku wa October 19 2016 kwa michezo nane tena kuchezwa kama iliyochezwa usiku wa October 18, mchezo wa Man City dhidi ya…
Video: Msami ameeleza sababu za kuachana na Irene Uwoya
Mtu wangu kama wewe utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia mahusiano ya mastaa basi penzi la Mrembo kutoka Bongomovie (Irene Uwoya) na Mkali kutoka Bongoflevani (Msami) litakuwa sio penzi geni kwenye…
Tarajia kumuona Fosu-Mensah Old Trafford hadi 2020
Ni good news kwa mashabiki wa Man United katika harakati za kuendelea kuboresha timu yao katika mashindano tofauti, October 19 2016 Man United imetangaza kumpa mkataba mpya beki wa kimataifa…
Video: Behind the scene ya Diamond Platnumz ft Rayvanny ‘Salome’
Moja kati ya single zinazopata airtime ya kutosha kwenye TV na Radio stations mbalimbali kwa sasa ni single ya mkali Diamond Plantumz akiwa na Rayvanny iitwayo Salome. Sasa basi leo…
VIDEO: Ndani ya siku nne makosa ya barabarani yameiingizia Serikali haya mamilioni
Mtu wangu kama uko Dar es salaam na umekutana na Faini kutoka Jeshi la Polisi Usama Barabarani basi taarifa hii ikufukie kutoka Jeshi la Polisi kitengo cha kuzuia makosa ya…
PICHA 9: Yanga imechukua ushindi wa pili kanda ya ziwa leo
Jumatano ya October 19 Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea kama kawaida kwa michez0 mitano kuchezwa huku mchezo wa sita wa Azam vs Mtibwa Sugar ukitarajiwa kuchezwa usiku wa leo…
AUDIO: Wanafunzi waliodaiwa kulawitiwa Moshi wafikia 35, wazazi wazungumza
Siku kadhaa zimetolewa taarifa kuwa baadhi ya watoto wa kiume katika shule ya msingi Kaloleni iliyopomo Moshi Mkoanu Kilimanjaro wamelawitiwa na wale wa kike kufanya mapenzi na watu waziama. Imeelezwa…