PICHA 8: JPM alivyoongoza wananchi kutoa heshima za mwisho mwili wa Dk. Masaburi
Mwili wa aliyekuwa Meya wa zamani wa jiji la Dar es salaam Dk. Didas Masaburi umeagwa leo October 17 2016 na viongozi wa kitaifa pamoja na wananchi wa Dar es…
Majibu ya Aunt Ezekiel kuhusu ugomvi wake na Ex wa Mose Iyobo
Ni October 16, 2016 ambapo mwigizaji Aunt Ezekiel ameingia kwenye headlines baada ya kurushiana vijembe na Ex Mose Iyobo kupitia mitandao yao ya kijamii. Sasa basi millardayo.com na Ayo TV…
Mambo 6 ya kufahamu kuhusu Sayari ya Venus iliyopo karibu na Dunia
Najua utakua umesikia mara nyingi kuhusu wanasayansi na watafiti wa masuala ya anga wakitoa taarifa mbalimbali kuhusu kilichopo kwenye Sayari nyingine ukiacha Dunia. Leo October 17, 2016 Nakusogezea mambo 6…
Maamuzi ya Shirika la Kenya Airways baada ya kutokea mgomo wa wafanyakazi
Baada ya kutokea mgomo wa wafanyakazi siku ya Jumapili October 16, 2016 hatimaye Shirika la ndege la Kenya limefanikiwa kurudisha safari zake masaa kadhaa baada ya wafanyakazi wake kutofika uwanjani…
Baada ya Burundi kujitoa Mahakama ya ICC… EU Wametangaza maamuzi haya
Siku chache baada ya Burundi kutangaza maamuzi ya kujitoa kwenye Mahakama ya makosa ya uhalifu ICC, Umoja wa Ulaya umetangaza kuitenga serikali ya Burundi kwenye masuala ya fedha za kikosi…
VIDEO: Koffie Olomide alivyotumia dakika 1 kuwaomba msamaha wakenya
Mwanamuziki wa Congo Koffi Olomide ambaye mwezi July aliwasili Nairobi Kenya akiwa na wanamuziki wake pamoja na dancers wake kwa ajili ya show na baadae kuripotiwa kukamatwa kwa tuhuma za…
Maagizo 5 aliyoyatoa January Makamba kuhusu Migogoro ya Wakulima na Wafugaji Morogoro
Kutokana na historia ya matukio ya kutokuwa na maelewano mazuri baina ya wafugaji na wakulima katika mkoa wa Morogoro na wilaya zake, Jumapili ya October 16, 2016 imemfikisha Waziri wa…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania October 17 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/787854717288316929…
AyoTV MAGAZETI: Mambo yaliyotikisa utawala wa JPM, Mapya yaibuka kipigo cha mwanafunzi Mbeya
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=q31QGlwCCsQ ULIKOSA HII YA VIJANA WOE WALIOHUSIKA…
Magazeti ya Tanzania October 17, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 15 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…