Jackline wolper kuhusu wanaosema ana mimba ya miezi mitatu…
Ni October 16 2016 ambapo msanii kutoka kwenye tasnia ya Filamu Jackline Wolper aliingia kwenye kikaango cha mashabiki wake baada ya kupost picha ikionesha ana ujauzito huku wengi wakiwa na maswali…
Walichozungumza Madereva baada ya kutakiwa kurudisha Posho za Mwenge
Baada ya agizo la Rais John Magufuli kuwataka watumishi wote waliopewa posho za kuhudhuria kilele cha mbio za Mwenge, Madereva na Wasaidizi wa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya…
Sentensi za kijana aliyetobolewa macho baada ya kupokea bajaji mbili..
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha vitu vilivyoahidi kwa Said Ally (Kijana aliyetobolewa macho) Buguruni Sheli anavipata. Sasa ahadi hizo zimeanza…
Hizi ni Pesa anazoingiza msanii Adele kila siku….
October 16, 2016, Nimeipata hii kuhusu kiasi cha pesa anachokiingiza star wa hit single ya Hello mtu wangu. Imefahamika kuwa kila siku inayopita female singer Adele anaingiza kiasi cha Paundi 84,000 ambazo ni zaidi…
Maneno ya Diamond kwa Harmonize baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA
Tuzo za AFRIMMA ambazo hutolewa kila mwaka kwa Waafrika mbalimbali waliofanya vizuri kwenye sekta mbalimbali hasa za burudani, zimetolewa Dallas Texas Marekani leo ambapo kwenye list yote Watanzania walioshinda ni…
Shirika la ndege Kenya laahirisha safari zake, Wafanyakazi wa zamu hawajatokea ofisini
Shirika la ndege la Kenya Airways limeahirisha safari zake tano za kwenda ndani na nje ya nchi leo October 16 2016 kutokana na upungufu wa Wahudumu wa ndege kazini. Taarifa…
FULL LIST: Washindi wa tuzo za AFRIMMA 2016 Dallas, Texas. ( Winners)
Tuzo za AFRIMMA ambazo hutolewa kila mwaka kwa Waafrika mbalimbali waliofanya vizuri kwenye sekta mbalimbali hasa za burudani, zimetolewa Dallas Texas Marekani leo ambapo kwenye list yote Watanzania walioshinda ni…
AyoTV MAGAZETI: Mapya bodi ya mikopo, Ndege za Magufuli ruti za kimataifa hizi hapa
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=XSaT99JsLfE ULIKOSA HII YA NDEGE MPYA ZA…
Magazeti ya Tanzania October 16, 2016 kuanzia, Hardnews na michezo
October 15 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
Assist ya Samatta imeinusuru KRC Genk na kipigo cha tano msimu huu
Baada ya watanzania kupokea good news ya nahodha wao wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta kuteuliwa katika list ya majina 30 ya wachezaji wanaowania tuzo ya…