Magazeti ya Tanzania October 8, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 8 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
TRAILERS: Movie 6 utazikuta Cinema Dar es salaam leo Oct 8
Najua nina watu wangu tu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend kama hivi sasa kama upo Dar es salaam kuna hizi movie labda ukitazama Trailers hapa unaweza kushawishika kwenda kuzitazama.…
VideoMPYA: Victoria Kimani katuletea hii video yake mpya
Staa Victoria Kimani amerudi kwenye headlines za burudani 2016 ambapo October 8, 2016 kaachia hii video mpya ya single yake iitwayo 'My Money'. Ukishamaliza kuitazama hii video sio mbaya ukituachia na…
PICHA 17: Kutoka Mombasa….Maandalizi ya jukwaa la mkali Chris Brown
Ni October 8, 2016 ambapo mashabiki wa muziki na wadau mbalimbali Mombasa nchini Kenya wanatarajia kupata burudani ya nguvu kutoka kwa msanii wa marekani, Chris Brown huku mkali huyo akisindikizwa…
VIDEO: Rekodi ya Ronaldo katika ushindi wa Ureno wa 6-0 dhidi ya Andorra
Usiku wa October 7 2016 kuelekea October 8 michezo ya kuwania kufuzu kucheza Kombe la dunia 2018 Urusi kwa upande wa mataifa ya bara la Ulaya iliendelea, Ulaya usiku wa…
PICHA: Madhara ya kimbunga kilichotokea visiwa vya Haiti
Mtu wangu nakusogezea taarifa hii kutoka visiwani Haiti. Wiki hii kuliripotiwa kutokea kwa kimbunga kikali kiliambatana na mvua pamoja upepo mkali ambao umevikumbuka visiwa hivyo. Kimbunga kilichopewa jina la Hurricane Matthew kimesababisha…
Video: RC Makonda baada ya kutoa majibu ya Madaktari kwa aliyetobolewa macho
Leo October 7, 2016 Millardayo na Ayo TV zimepata taarifa ya majibu ya madaktari juu ya uchunguzi wa Macho ya kijana Said maaarufu kama Baba D ambaye alipata mkasa wa…
U HEARD: Mapenzi ya Barakah Da Prince na Najma kimenuka..
Kupitia U Heard ya XXL leo October 7, 2016 Mtangazaji Soudy Brown kutoka Clouds FM amezungumza na kijana mmoja aliyejiita Rogers ambaye amedai ni mdogo wa star wa hit single…
Kauli ya BMT kuhusu Yanga kukodiwa kwa miaka 10
Baraza la michezo Tanzania BMT leo October 7 2016 limetangaza msimamo wake ikiwa ni siku moja imepita toka klabu ya Dar es Salaam Young Africans iweke wazi mkataba wake wa…
Tecno Phantom 6 kuanza kuuzwa, haya ni mambo ya kuyafahamu
Baada ya simu ya Tecno Phantom 6 na Phantom 6 plus kuzinduliwa usiku wa September 26 2016 huko Dubai kwenye jengo refu zaidi duniani, Burj Khalifa, October 8 2016 ndio…