VIDEO: Maamuzi ya serikali baada ya kuona ile video walimu wakimpiga mwanafunzi
Moja ya headline iliyochukua nafasi katika baadhi ya mitandao ya kijamii ni pamoja na tukio linaloonyesha mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbeya Day akipigwa na baadhi ya walimu huku wakimchangia…
VIDEOMPYA: Linah ametuletea video ya ‘raha jipe mwenyewe’
Malkia wa nguvu Linah Sanga, baada ya kuachia audio ya wimbo wake wa raha jipe mwenyewe, leo 0ctober 6 ameamua kutuletea video ya wimbo huo. Video imetayarishwa na director Khalfan…
HEKAHEKA: Asimulia alivyopigwa na mpenzi wake na picha zake za utupu kupostiwa
Leo October 6 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM wametuletea hii ya kijana kumpiga na kumjeruhi mpenzi wake na kupost picha za utupu za mpenzi wake chanzo kikielezwa ni wivu wa…
Taarifa ya Waziri Nchemba kuhusu tukio la kupigwa kwa mwanafunzi Mbeya
Baada ya kipande cha video kusambaa mitandaoni kikionyesha mwanafunzi aliyekuwa akiadhibiwa kwa kushambuliwa na walimu, Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba ameitoa taarifa kupitia ukurasa wake wa…
VIDEO: Zitto Kabwe akielezea kuhusiana na hali ya siasa nchini
Leo October 6 2016 mbunge wa Kigoma mjini na kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amekaa kwenye Clouds 360 ya clouds TV na ametoa maoni yake kuhusu…
VIDEO: Ufafanuzi alioutoa Zitto Kabwe kuhusu sakata la IPTL
Wakati mgogoro kati ya IPTL na benki ya Standard Chartered ukiibuka upya baada ya mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa kibiashara 'ICSID' iliyopo nchini Uingereza kuitaka TANESCO kuilipa kwa niaba…
Usichokijua kuhusu Antonio Guterres, Katibu Mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa
October 6, 2016 Nakusogezea hii stori kuhusu Waziri mkuu wa zamani wa Ureno, Antonio Guterres, ambaye anasubiri kuthibitishwa rasmi na nchi wanachama wa umoja wa Mataifa kuwa katibu mkuu mpya…
VIDEO: Vodacom watangaza washindi wa kamata mpunga, mwezi huu atapatikana wa mil 100
Ikiwa zimebaki siku chache ifanyike droo kubwa ya kumpata mshindi wa kamata mpunga wa milioni 100, wiki hii vodacom imewatangaza washindi wengine wa milioni moja, milioni tano pamoja na mshindi…
DONEDEAL: Yanga imekodishwa kwa miaka 10
Klabu ya Dar es Salaam Young Africans kupitia kwa bodi ya wadhamini wa klabu hiyo, leo October 6 2016 imetoa taarifa rasmi ya kuamua kuikodisha klabu hiyo kwa kampuni ya…
Balaa wodi ya wazazi Muhimbili, IGP Mangu afunguka mauaji ya watafiti
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo October 6 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=mSCo8vrBrQw ULIKOSA BODI YA WADHAMINI YA CUF KUFUNGUA…