Kingine kizuri kutoka Vodacom kupitia promosheni ya banduka kijanja
Baada ya kufanya gulio kwa wiki iliyopita ambapo simu ziliuzwa kwa bei nafuu kabisa mtu wangu, Kampuni ya simu za mkononi chini ya Vodacom Tanzania bado inaendelea kuwawezesha watanzania kumiliki…
PICHA 9: Naibu Waziri Ole Nasha alivyoongoza mazishi ya mmoja ya watafiti waliouawa
Leo October 4, 2016 Naibu waziri wa kilimo mifugo na uvuvi Wiliam Ole Nasha ameongoza wananchi wa Arusha kwenye misa ya kuaga mwili wa marehemu Theresia Alex Nguma katika kanisa la…
VIDEO: ‘Bandari yetu ilifikia mahali meli 60 zilipotea na mizigo ya watu’-JPM
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila Kabange ameweka jiwe la msingi la jengo la Kituo cha Pamoja cha Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ambalo limejengwa…
Maamuzi ya Yanga baada ya serikali kuzuia wasitumie uwanja wa Taifa
Ikiwa zimepita siku 2 toka serikali kupitia kwa waziri wa habari, sanaa, utamaduni na michezo Nape Moses Nnauye kutangaza kuufungia uwanja wa Taifa Dar es Salaam kutumia kwa vilabu vya…
HEKAHEKA: Alichokizungumza shuhuda wa matukio ya ubakaji Mtwara
October 4, 2016 Ndani ya Leo Tena ya Clouds FM Mtangazaji Geah Habibu akiwa Mtwara amekutana na hii ya kijana mmoja ambaye inaelezwa amekua na tabia ya kuwavizia wanawake wakiwa…
VIDEO: Rais wa DRC, Joseph Kabila amezungumza atakavyoshirikiana na Serikali ya Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila Kabange leo tarehe 04 Oktoba, 2016 wamefanya mazungumzo rasmi…
PICHA5: Eneo ambalo mamilioni ya fedha yalichimbuliwa wakati wa upanuzi wa barabara
Taarifa hii imetokea mianzini Arusha ambapo ndani ya nyumba aliyokuwa anaishi Christopher Akoonay baada ya kubomolewa wakati wa zoezi la upanuzi wa barabara na kikubwa kilichojitokeza ni mifuko ya plastiki…
Jibu la Balotelli alipoulizwa kuhusu Jurgen Klopp
Mshambuliaji wa kimataifa wa Italia mwenye asili ya Ghana ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Nice ya Ufaransa Mario Balotelli, bado anaendelea kuingia kwenye headlines kama ilivyo kawaida yake, mara…
Afande Sele kaipokea vipi Professor Jay kuimba style ya singeli?
Baada ya kutoka kivingine na kuamua kuachia hit single yenye mahadhi ya singeli, kitu ambacho hatujazoea kumuona akifanya mbunge wa mikumi Joseph Haule a.k.a Professor Jay. Millardayo.com iliyapata maoni ya…
Mke wa Roma Mkatoliki kayaongea ya uhusiano na Ndoa yao…..
Mnamo tarehe 3, October 2016 ndio siku itakayokumbukwa na Roma Mkatoliki baada ya kufunga ndoa na mchumba wake huko Tanga. Sasa millardayo.com & Ayo TV imempata Mama Ivan ambaye ni…