PICHA 8: Rais Magufuli alivyompokea Rais wa Congo, Joseph Kabila leo
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Joseph Kabila Kabange, amewasili hapa nchini leo October 03 2016 kwa ziara rasmi ya kiserikali ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake Rais…
RIPOTI: Benki ya Dunia imetaja idadi ya watu masikini duniani
October 3, 2016 Mtu wangu wa nguvu nakusogezea taarifa ya Benki ya Dunia kuhusu kupungua kwa idadi kubwa ya watu masikini duniani licha ya ongezeko la idadi ya watu ulimwenguni. Kwa mujibu…
AUDIO: Ufafanuzi wa Julius Mtatiro kuhusu mambo mbalimbali kwenye mgogoro wa CUF
Wakati mgogoro wa kiungozi ndani ya chama cha wananchi CUF ukizidi kuchukua headline, leo kupitia kipindi cha Power Breakfast cha clouds FM, mwenyekiti wa kamati ya uongozi CUF, Julius Mtatiro…
Rais Magufuli afanya uteuzi Muhimbili leo October 3 2016
Leo October 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Lawrence Mujungu Museru kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Taarifa iliyotolewa…
VideoFUPI: Julio alivyotangaza kuachana na soka kisa waamuzi
Kocha wa klabu ya Mwadui FC ya Shinyanga Jamhuri Kiwelu Julio jioni ya October 2 2016 alitangaza maamuzi ya kuwashtusha walio wengi, hiyo ni baada ya mchezo wake wa ugenini kati…
Top 10 ya habari kubwa za magazeti ya Tanzania October 3 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Watafiti walivyochomwa moto Dodoma, Komandoo mauaji ya Vikindu alivyowatoroka Polisi
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo October 3 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=B_VCKc6BqFI ULIKOSA UJUMBE WA KAMANDA SIRRO KWA WAHALIFU…
VIDEO: Country Boy, Stamina walivyonogesha Maisha Club Dar…..
Ni Usiku wa kuamkia October 3, 2016 ambapo Country Boy aliwakutanisha mashabiki wa muziki wa Hip Hop katika ukumbi wa Maisha Club ambapo staa huyo akisindikizwa na Stamina, Deddy, Young…
Magazeti ya Tanzania October 3, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
Wameongezeka watanzania watatu kwenye list ya kuwania tuzo MTV MAMA 2016….
Sept 21, 2016 majina ya mwanzo ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016 yalitajwa huku Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz na kundi la Navy Kenzo pamoja na Alikiba ndio wasanii…