VideoMPYA: Chege ft. Diamond ‘waache waoane’ humo ndani Mh. Temba ndio kaopoa
So Chege Chigunda na Diamond wametuletea single mpya inaitwa 'waache waoane' na video imefanywa South Africa, ni ngoma ya Chege ambayo kamshirikisha Diamond... ukishaitazama usiache kutoa comment yako maana ni…
VIDEO: Kiwanda chapigwa faini ya mil 30 kwa kutiririsha maji kwenye mto
Leo August 04 2016 Naibu waziri wa mazingira na muungano kutoka ofisi ya makamu wa Rais, Luhaga Mpina akiambatana na baadhi ya viongozi wa NEMC kanda ya mashariki walifanya ukaguzi…
Rapper gani wa kenya kuifanyia remix ‘Too Much’, majibu yako hapa
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka Bongoflevani inayomuhusu msanii Darassa ambae ameipata heshima millardayo.com & Ayo TV na kumtaja rapper wa Kenya anayetaka kuifanyia remix smash hit ya single yake…
Ufafanuzi wa taasisi MOI kuhusu tuhuma za kubana matumizi na kusababisha msongamano
Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) Jumaa Almas ametoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo August 04 2016 jijini…
TBT: Picha za utoto za wanamichezo Usain Bolt, Ronaldo, Hazard na Zlatan
Mtu wangu wa nguvu alhamisi ya August 4 2016 naomba nikuletee TBT Pichaz za wanamichezo ambao wamekuwa wakifanya vizuri katika tasnia hiyo kwa muda mrefu, leo August 4 nakusogezea TBT picha…
VIDEO & PICHA 4 : Shambulio la Kisu lililotokea London, Mtu mmoja amefariki
Moja kati ya habari inayomake headline kwenye vyombo vya habari vya kimataifa leo August 04 2016 ni hii ya mauaji yaliyotokea Russell London Uingereza usiku wa August 3 2016 ambapo watu sita wamechomwa…
TAKUKURU wataja kosa lililomfanya Rais wa Simba Evans Aveva kukamatwa
Asubuhi ya August 4 2016 taarifa zilianza kusambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na Rais wa Simba Evans Aveva kutiwa mikononi mwa Polisi kutokana na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia…
AUDIO: Mambo 3 yaliyopigwa marufuku Wilaya ya Kongwa na DC Ndejembi
Kufuatia kuwepo kwa tatizo la mazao ya chakula katika baadhi ya maeneo katika huku baadhi ya wakulima pia kushindwa kunufaika na mazao wanayozalisha, hili pia halijawa jambo geni katika wilaya…
PICHA: Jezi za msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa timu zote 16
Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom ambao ni wadhamini wakuu wa Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu wa 2016/2017, wamekabidhi vifaa kwa timu zote 16 zitakazoshiriki Ligi Kuu msimu…
Serikali yazindua mkakati kukabiliana na ajali, haya ni mambo 14 yaliyolengwa
Baraza la Taifa la usalama barabarani Tanzania limeibuka na mkakati wa miezi sita unaolenga kukabiliana na ajali za barabarani nchini kwa muda mfupi kuanzia mwezi huu mpaka February 2017. Katika…