AUDIO: Mambo 5 yanayoweza kusababisha ndege kuanguka na kulipuka
Inadaiwa kuwa moja ya njia bora na salama kwa usafiri ni kutumia njia ya anga ambao uhusisha usafiri wa ndege, lakini licha ya kutajwa kuwa ni usafiri salama bado tumekuwa tukizipokea…
PICHA: Simba imemshusha Laudit Mavugo Dar es Salaam
Baada ya klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba kumuwinda kwa muda mrefu mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi aliyekuwa anaichezea klabu ya Vital'O ya kwao Burundi Laudit Mavugo, hatimae usiku wa…
Vichwa 8 vya habari kwenye TV za Tanzania August 3 2016
Mtu wangu kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya August 3 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com inakupatia fursa ya kutazama vichwa…
AUDIO: Ukweli kuhusu stori za Kavumbagu kuripotiwa kufungiwa na FIFA
Najua utakuwa ilisikia stori za mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi aliyekuwa anaichezea klabu ya Azam FC Didier Kavumbagu kuripotiwa kufungiwa na shirikisho la soka ulimwenguni FIFA kutokana na kudaiwa kusaini…
VIDEO & PICHA 8: Mnara mrefu wenye uwezo wa kusogea unapatikana UK
Najua umeshakutana na majengo mazuri, marefu na yakuvutia na sasa ni zamu ya kukusogezea hii mpya ya mnara mrefu uliozinduliwa August 4 2016 Brighton Uingereza. Mnara huu una uwezo wa kusogea…
Walichosema Polisi Singida baada ya kumkamata Tundu Lissu leo
Baada ya kusambaa kwa taarifa za kukamatwa kwa mwanasheria ambae ni mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu akiwa kwenye mkutano wake katika kijijini Ikungi Singida. Sasa millardayo.com & AyoTV imempata kamanda wa polisi wa…
Ray C kapost kwa mara ya kwanza tangu apelekwe kwenye matibabu Bagamoyo
Usiku wa June 16 2016 kuamkia June 17 kuna video ya mwimbaji wa longtime Bongoflevani Rehema Chalamila au Ray C ilisambaa mitandaoni akiwa anachukuliwa na gari la Polisi Kinondoni Dar es salaam ambapo baadae…
AUDIO: Ukimuuliza Pondamali kuhusu mwenendo wa Yanga CAF, atakujibu hivi
Golikipa wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Dar es Salaam Young Africans ambaye kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa akiitumikia Yanga kama kocha…
VIDEO: Dr. Leakey ametabiri Bingwa wa EPL 2016/2017 kabla ya ligi kuanza
Najua kama wewe ni mmoja kati ya wapenda soka, basi jina la mchambuzi wa soka mkongwe Dr Leaky litakuwa sio geni masikioni mwako, Dr Leaky ambaye tutaanza kumuona tena msimu…
VIDEO: Milioni 45 zinawatoka watu wa Kiwalani hivihivi kisa chemba
Wizara ya nchi ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira imewapiga faini ya milioni 5 Wananchi 9 wa kiwalani kila mmoja baada kuonekana kuwa wamevunja sheria ya Mazingira kwa…