Siri ya Magufuli Kumbakiza Kinana, Zitto aona mwanga ukali wa Magufuli
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 25 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=0HCJtqyvITg ULIIKOSA YA RAIS MAGUFULI KUIPELEKA SERIKALI YOTE…
Comment kwamba mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose ana sura mbaya ilimuumiza Mose
Mose Iyobo ni dancer wa Diamond Platnumz lakini pia ni Baba wa mtoto mmoja aliyepata na mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel, usifikirie huwa anazipotezea comments au hasomi kinachoandikwa mitandaoni…
Polisi yasema Trafiki aliyeuwawa Kijitonyama sio yule mwenye mbwembwe
Usiku wa July 22 2016 ilisambaa taarifa ya kupigwa risasi Askari wa kikosi cha usalama barabarani wa kituo cha Polisi Oysterbay Kinondoni Dar es salaam ambapo alipigwa risasi na watu wanaodhaniwa…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 25, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 25 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Show ya Diamond New York July 23 kwenye One Africa Music Festival
Diamond Platnumz alikua msanii pekee kutoka Afrika Mashariki aliyealikwa kutumbuiza kwenye tamasha kubwa la muziki wa Afrika lililofanyika kwa mara ya kwanza New York Marekani kwenye uwanja unaochukua watu elfu…
Ronaldo ataondoka Madrid? kaweka wazi mazungumzo yake ya simu na Perez
Nahodha wa timu ya taifa ya Ureno aliyeiongoza timu hiyo kutwaa Kombe la Euro 2016 katika historia Cristiano Ronaldo bado anaendelea na likizo yake na kuendelea kuuguza jeraha lake la…
Maamuzi ya Mourinho kwa wachezaji wa Man United wanaopenda game
Headlines za kocha wa Man United Jose Mourinho zinazidi kuongezeka katika mitandao kila kukicha, July 24 2016 Mourinho ameripotiwa kutangaza maamuzi tofauti kwa wachezaji wake wa Man United ambao wanapenda…
Kolo Toure ameihama rasmi klabu ya Liverpool
Headlines za usajili leo July 24 2016 zinamuhusu beki wa kati wa kimataifa wa Ivory Coast aliyewahi kuvichezea vilabu vya Arsenal, Man City na Liverpool Kolo Toure, jina la beki…
PICHA 2: Jackline Wolper kaondoka UKAWA… sasa hivi ni CCM
Msanii wa filamu kutoka Bongo Movie Jackline Wolper jioni ya July 23 2016 akiwa katika mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma alitangaza rasmi kurudi CCM, Jackline Wolper…
Siku ambazo dili la Pogba litakamilika kujiunga na Man United zimetajwa
Magazeti mengi ya soka ya Italia kwa sasa ni majina ya wachezaji wawili ndio yanatumika sana kupamba kurasa za mbele katika kipindi hiki ambacho mashabiki wa soka duniani wanasubiria rekodi…