Staa wa Real Madrid amegoma kujiunga na Man United ya Jose Mourinho
July 21 2016 bado headlines za magazeti mengi ya michezo barani Ulaya yameamka na headlines za usajili, katika kipindi hiki ni kawaida kusikia mchezaji fulani akihitajika na timu fulani, sasa…
PICHA 13: Ubunifu wa nyumba zilizojengwa na kuelea juu ya maji
Mtu wangu kadri sayansi na teknolojia inavyopanda juu kila siku mambo nayo yanabadilika, kama ni mtu ambaye unapenda masuala ya ujenzi wa nyumba nzuri za kisasa basi sitapenda upitwe na…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 21, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Video ya Mayunga yachezwa kama #SmashHit kwenye kituo kikubwa cha TV
Video ya Mayunga Please Don't Go Away aliyomshirikisha staa wa marekani Akon baada ya kupitishwa kuchezwa kwenye kituo cha TV cha kimataifa cha Trace Urban cha Ufaransa, bado imeendelea kufanya vizuri mpaka…
VIDEO: July 20 2003 Ronaldinho alijiunga na Barcelona, jikumbushe goli lake la kwanza
Najua watu wangu wa nguvu mnaopenda soka la Ulaya na mnakumbukumbu, basi najua utakuwa unakumbuka kuwa July 20 2016 mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Ronaldinho ndio siku ambayo alijiunga na FC…
AudioMPYA: Dyna Nyange katuletea hii single mpya akiwa na Billnass
Ni mwimbaji wa bongofleva Dayna Nyange ambae time hii ametuletea hii single mpya iitwayo Komela amemshirikisha Billnass imetayarishwa na producer Mr T Touch. Unaweza ukabonyeza HAPA kuusikiliza wimbo huo mpya ULIIKOSA…
Man United wamekubali kumsajili Pogba kwa rekodi ya dunia
Siku moja baada ya klabu ya Man United kuripotiwa kutoa pound milioni 90 kwa klabu ya Juventus ya Italia ili kuishawishi iweze kumuachia mshambuliaji wao wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba…
VIDEO: Baada ya kushinda kesi ya ndoa za utotoni, Rebeca Gyumi ajipanga kwa hili
Mwanzoni mwa mwaka 2016 Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali, Msichana Initiative linalotetea haki za wasichana kupata elimu, Rebeca Gyumi alifungua shauri mahakamani kupinga kifungu cha 13 na 17 cha sheria ya ndoa…
Sheria mpya Ligi Kuu England kwa wachezaji wasio na nidhamu na waamuzi
Ligi Kuu England kwa kushirikiana na chama cha soka cha nchi hiyo leo July 20 2016 kimetangaza sheria mpya kwa ajili ya kuwalinda marefa na wachezaji wanaoonesha vitendo vya utovu…
VIDEO: Watanzania wauawa, wengine wakamatwa wakiwa na Al-Shabaab Somalia
Baada ya kuwepo kwa taarifa za watanzania kukamatwa wakienda kujiunga na vikundi vya kigaidi na hazikupatikana taarifa zozote za kuthibitisha hilo. Sasa leo July 20 2016 Waziri wa mambo ya nje…