VIDEO: Swali la kwanza Demba Ba kuuliza baada ya fahamu kumrudia
Stori za staa wa kimataifa wa Senegal aliyekuwa anaichezea klabu ya Chelsea ya England Demba Ba kuvunjika mguu ziliingia kwenye headlines, Demba Ba ambaye anaichezea klabu ya Shanghai Shenhua ya China…
VIDEO: Watu na vipaji vyao, JK Comedian kaitendea haki sauti ya hayati Madiba
Msanii JK Comedian ni moja ya vijana wa kitanzania waliobarikiwa kuwa na kipaji cha kipekee ikiwemo uwezo wake wa kuigiza sauti za watu tofauti wakiwemo watu mashuhuri duniani, hapa jamaa…
List ya majina 10 ya wachezaji wanaowani tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya
Shirikisho la soka barani Ulaya leo July 18 2016 limetangaza majina ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Ulaya kwa msimu wa mwaka 2015/2016, majina hayo 10 yametangazwa lakini…
Jokate ameamua kusifia kitu hiki kutoka kwa Diamond..
Kwenye zile post ambazo zimepata likes nyingi na comment nyingi ni pamoja na hii ya Jokate ambayo kapost kipande cha video ambacho kinamuonyesha Diamond Platnumz akifanya mazoezi ya kucheza ya…
VideoFUPI: Nyota wa Yanga kahamia Mbeya City
Good news kwa mashabikiwa Mbeya City imetangazwa tena leo July 18 2016 kupitia ukurasa wake rasmi wa instagram, Mbeya City ambayo makazi yake ni jijini Mbeya imetangaza kumsajili mchezaji wa…
Uteuzi mwingine alioufanya Rais Magufuli leo July 18 2016
Taarifa iliyotolewa leo July 18 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe…
VIDEO: k’ndoni wameanzisha mfumo mpya wa kadi kwenye hospitali za Serikali
Leo July 18 2016 mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi ametambulisha mfumo mpya wa malipo ya afya kwa kutumia kadi katika hospitali na vituo vya afya vya serikali katika…
Agizo la Rais Magufuli kwa viongozi wa Jeshi polisi
July 18 2016 Naibu Makamishna wa Polisi 25 na Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi 35 wamekula kiapo cha uadilifu kwa viongozi wa umma, Ikulu Jijini Dar es salaam. Muda mfupi baada…
VIDEO: Mabati elfu 10 aliyoyapokea RC Makonda july 18 2016
July 18 2016 mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amepokea zawadi ya mabati elfu 10 kutoka kampuni ya Subash patel kwa lengo la kuendeleza ujenzi wa madarasa…
K’ndoni yaja na mfumo mpya hospitali na vituo vya afya vya serikali
Baada ya mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi kukutana na waganga wafawidhi wa hospitali zilizoko ndani ya wilaya ya Kinondoni na kujadili changamoto mbalimbali zinazokabili hospitali za wilaya hiyo.…