Video ya Nedymusic yachezwa kama #SmashHit kwenye kituo kikubwa cha TV
Video ya Msanii kutoka label ya PKP Nedymusic aliyomshirikisha Ommy Dimpoz iitwayo Usiende Mbali baada ya kupitishwa kuchezwa kwenye kituo cha TV cha kimataifa cha Trace Urban cha Ufaransa, bado imeendelea kufanya…
Mastaa wa Arsenal watakaokosa Pre Season na mechi ya Liverpool August 14
July 16 2016 kocha wa klabu ya Arsenal ya England Arsene Wenger ametangaza mipango yake kuelekea maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu England, Wenger ametangaza mipango yake pamoja na…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 16, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 16 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 5: Gari jipya ya Cristiano Ronaldo aliyoinunua Tsh bilioni 4.9
Baada ya michuano ya Euro 2016 kumalizika na timu ya taifa ya Ureno inayoongozwa na nahodha wake Cristiano Ronaldo kutwaa taji hilo, headlines zimekuwa nyingi baada ya staa huyo kushinda…
Video mpya ya Darassa ‘Too much’ Shilole, Lina na wengine ndani….
Rapper kutoka Bongoflevani, Darassa anayetamba na wimbo uitwao Kama Utanipenda aliyomshirikisha Rich Mavoko , sasa leo July 16, 2016 ameachia rasmi video yake mpya iitwayo Too Much imetayarishwa na director Hanscana. https://www.youtube.com/watch?v=2kUmxWKjTYI&feature=youtu.be…
Maneno ya Wafanyabiashara wa Zanzibar kuhusu hali ya uchumi..
Kwa miezi kadhaa Wafanyabiashara mbalimbali wa mikoa ya Tanzania bara wamekua wakilalamikia kushuka kwa biashara zao kutokana na soko pamoja na mazingira yaliyopo sasa,Camera za millardayo.com na AyoTV zimepiga stori…
PICHA: Kama ulisikia mradi wa zaidi ya Bilioni 85 wa Ronaldo, umefikia hapa
Staa wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye pia ni mshindi wa tuzo tatu za Ballon d'Or, ameripotiwa kuandaa dola milioni…
Maamuzi ya Chelsea kuhusu usajili wa kiungo N’Golo Kante
July 15 2016 miongoni mwa habari zilizobeba uzito katika headlines za usajili wa wachezaji katika kipindi hiki cha dirisha la usajili ni kuhusiana na kiungo wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea…
VIDEO: Kwa mara ya kwanza hospitali ya Muhimbili imeweza kuweka betri kwenye moyo wa mtoto
Ugonjwa wa moyo umewakumba watu wengi hata wengine kufariki, leo Ayo TV imefanya exclusive interview na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo katika hospitali ya Jakaya Kikwete Dar es salaam…
AUDIO: Samuel Sitta azungumzia taarifa za kuhamishwa kwenye nyumba ya serikali
Kumekuwa na taarifa ambazo zimeripotiwa na moja gazeti leo July 15 1016 likidai kuwa aliyekuwa spika wa bunge la tisa Samuel Sitta, kuondolewa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi baada ya serikali…