Yatazame hapa matokeo ya Ualimu DSEE na GATCE 2016
July 15 2016 Wizara ya elimu, sayansi, teknolojia na mafunzo ya ufundi imetangaza matokeo ya Ualimu 'DSEE' na GATCE 2016, matokeo ya ualimu 'DSEE' 2016 unaweza kuyatazama kwa kubonyeza>>> hapa na kutazama…
VIDEO: Goli la Samatta alilofunga katika mechi ya Europa League July 14 2016
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta jana July 14 2016 alipata nafasi ya kucheza katika mchezo wa kwanza wa KRC Genk wa kuwania kufuzu Europa League dhidi…
Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania July 15 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Unaweza kuyatazama hapa matokeo yote ya kidato cha sita 2016
July 15 2016 Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imetangaza matokeo ya kidato cha sita, Matokeo yote unaweza kuyatazama kwa kubonyeza >>>hapa ULIKOSA UCHAMBUZI WA MAGAZETI JULY 15 2016…
VIDEO: Nahodha meli ya TZ iliyobeba Cocaine ya trilioni 1.5 hatiani, Neema TRA ya JPM yaja
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 15 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=sXuC85H4hGw ULIKOSA HII YA WAZIRI MKUU MSTAAFU, SUMAYE…
EXCLUSIVE: Sababu za Shaa kujiondoa kwenye uongozi wake wa zamani
Ni July 15, 2016 ambapo Malkia wa uswazi, Sara Kaisi aka Shaa amefunguka kupitia Ayo TV na kuelezea sababu za kuondoka kwenye uongozi wake wa zamani. Akizungumza na Ayo TV…
EXCLUSIVE: Fid Q kumuandika script Christian Bella? majibu yako hapa
Mkali wa masauti, Christian Bella amefunguka na kuweka wazi kuwa kwasasa yuko mbio kuachia single yake mpya iitwayo Nishike ambayo video ya single hiyo itatayarishwa Afrika Kusini. Akizungumza na Ayo…
VIDEO: Msami kayaongea haya kuhusu Ex wake Irene Uwoya……..
Msami ni dancer na msanii wa bongofleva pia ambaye ana single mpya inaitwa ‘Mabawa‘ na alikutana na Ayo TV kuzungumza kuhusu Ex wake Irene Uwoya. Akizungumza na Ayo TV alisema...'Kuachana…
EXCLUSIVE: Hii ndio mikakati ya Mbunge Goodluck Mlinga jimboni kwake
Mbunge Goodluck Mlinga ni mmoja wa wabunge waliozimake headlines kwenye bunge la 11, style yake ya uwasilishaji maneno umekuwa ukimuongezea sifa zake mara kwa mara, sasa leo July 15, 2016…
Jichagulie mapema leo utatazama movie gani Cinema kama upo Dar
Najua nina watu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend, sasa kama upo Dar es salaam nina movie zitakazoanza kuoneshwa kwenye big screen July 15, 2016 hapa chini nimekuwekea Trailers. The…