DC wa Korogwe alivyotatua na kumaliza mgogoro wilayani…..
Ni July 13, 2016 ambapo Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Gabriel Robert amemaliza mgogoro wa ardhi kati ya mwekezaji na wananchi mkoani Tanga. 'Kulikuwa na mgogoro kati ya wakulima ambao…
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo bongo flevani..
Leo ni alhamisi July 14 2016 na tunajua kwenye ulimwengu wa leo siku hii imepewa cheo cha TBT yaani siku ya kukumbuka matukio ya zamani ambapo millardayo.cominakukumbusha au kukuonyesha video za kitambo…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 14, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VideoMPYA: Roma Mkatoliki karudi tena kwenye TV ft. Darasa na Jos Mtambo
Karudi tena kwenye TV na hii mpya 'kaa tayari' na ni ngoma imesukwa pale Tongwe, ukishaitazama hapa chini usiache kuandika comment yako maana Roma mwenyewe atapita kujua watu wake wanasemaje. https://www.youtube.com/watch?v=cmwgn94pNT0…
PICHA 3: Ajali iliyotokea kwenye msafara wa Waziri Mwakyembe leo
Msafara wa waziri wa sheria na katiba Dr. Harrison Mwakyembe umepata ajali baada ya gari lililokua limembeba Mkurugenzi wa mashtaka na makosa ya jinai DPP Biswalo Mganga kupinduka katika kata ya Bwanga…
PICHA 4: Moto uliotokea kwenye garage eneo la Jangwani Dar es salaam leo
Leo July 13 2016 moto umetokea kwenye garage zilizopo eneo la jangwani Dar es salaam jirani na ofisi za klabu ya Yanga, hata hivyo chanzo cha moto huo bado hakijajulikana…
Leo RC Paul Makonda kapiga hii picha alafu akaipost na haya maelezo
Ni July 13, 2016 ambapo Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alilazimika kuandika sentensi kadhaa kuhusu maneno yasiyo safi na salama.…
VIDEO: Waziri Nape kaeleza sababu ya Serikali kufuta usajili wa magazeti 473
Serikali imefuta usajili wa Magazeti 473 kupitia tangazo lililochapishwa katika gazeti la serikali lenye namba 195 ambapo sababu za kufutwa usajili huo ni kutochapishwa kwa muda wa miaka mitatu mfululizo. Magazeti hayo hayataruhusiwa…
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki auawa kwa kupigwa risasi
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Burundi Hafsa Mossi ameuawa na watu wasiojulikana mjini Bujumbura, Mossi, aliyekuwa wakati mmoja Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki katika serikali ya nchi hiyo,…
Video: Dakika 2 za Bob Junior akiongelea ndoa yake ya kwanza.
Mkali kutoka Bongoflevani ambaye ni CEO wa Sharobaro record Bob Junior amepiga stori na Ayo TV pamoja na millardayo.com kuhusiana na Ndoa yake ya kwanza, muda waliodumu, na sehemu aliyokuwepo…