Tazama hii ya New Zealand, Jambazi kavamia alafu Muhudumu kamchukulia poa
Imetokea New Zealand ambapo jambazi mwenye bunduki alivamia Restaurant moja akitaka apewe pesa lakini muuzaji bila kuogopa akamuonyesha jambazi kwamba hajatishika kivyovyote na huo mkwara huku tukio zima likirekodiwa na camera…
Serikali ya Tanzania imeyafutia usajili magazeti 473 leo
Serikali imefuta usajili wa Magazeti 473 kupitia tangazo lililochapishwa katika gazeti la serikali lenye namba 195 ambapo sababu za kufutwa usajili huo ni kutochapishwa kwa muda wa miaka mitatu mfululizo. Magazeti hayo hayataruhusiwa…
Bado kifungo cha mwaka kinamuumiza Jerry Muro, leo kayaandika haya
Jerry Muro ni mkuu wa idara ya habari ya club ya soka ya Yanga ambaye alizichukua headlines kuanzia magazetini juzi baada ya kusimamishwa kwa mwaka mmoja kujihusisha na soka. July 13 2016 Jerry…
VIDEO: Polisi wana mpango huu kwa wale wenye vyeti feki maofisini
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa watatu wakazi wa buguruni kwa kosa la kukutwa na nyaraka bandia za serikali kama vyeti vya kidato cha nne,…
Waliokamatwa na Polisi Dar kisa biashara ya Shisha iliyopigwa marufuku
Polisi Dar es salaam imeanza kuingia mtaani kukamata wanaokiuka agizo la marufuku ya uvutaji/uuzaji wa shisha lililotolewa na Waziri mkuu Majaliwa pamoja na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam…
Mgodi mwingine wa dhahabu kujengwa kanda ya ziwa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Polisi Dar es salaam kuhusu Askofu Gwajima kukamatwa uwanja wa ndege
Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Josephat Gwajima jana July 12 2016 amekamatwa na polisi wakati anawasili Tanzania kutokea ughaibuni ambapo baada ya kukamatwa alichukuliwa na kuhojiwa kwa saa…
Unamkumbuka Mkenya aliefanya kolabo na Diamond, kaja na hii mpya….
Akothee ni msanii wa kwanza wa Kenya kufanya kolabo na mwimbaji Mtanzania Diamond Platnumz kwenye ile single yake iitwayo Sweet Love, sasa time hii ametuletea hii video mpya ya single yake…
Kutoka Dodoma kuhusu Tetemeko la ardhi lililotokea leo asubuhi
Asubuhi ya July 13 2016 nilianza kuona naandikiwa msg na wengine kuniandikia kwenye mitandao ya kijamii kwamba kumetokea tetemeko la ardhi kwenye mkoa wa Dodoma na mpaka wengine wakaelezea walivyopata…
COMEDY: Joti katuletea hii mwendelezo wa mimba ya Dada Kiboga…
Inawezekana siku yako haijawa poa sana leo, basi chukua time hii kuirejesha furaha kwa kucheka na vituko vya mchekeshaji Joti ambaye time hii amecheza kama Dada Kiboga mwenye mimba sasa anampa…