Umefichuka mpango wa Arsenal ili kumpata Gonzalo Higuan
Alfajiri ya July 12 2016 ikiwa ni siku moja imepita toka michuano ya Euro 2016 imalizike, vilabu mbalimbali vya soka barani Ulaya vimerudi kwa kasi katika mbio za kuwania wachezaji…
Wema Sepetu kaamua kumuandikia ujumbe huu Idris Sultan
Mrembo Wema Sepetu ambaye jina lake July 11 2016 liliingia kwenye headlines baada ya kutoa viatu vyenye brand ya jina lake, ameingia tena kwenye headlines baada ya kuamua kumuandikia ujumbe Idris…
VIDEO: Kauli ya Kamusoko baada ya kuwa nominated katika tuzo za VPL
Jumamosi ya July 9 2016 majina ya nominees watakaowania tuzo za Ligi Kuu soka Tanzania bara (VPL) msimu wa 2015/2016 yalitajwa, July 17 2016 ndio siku rasmi ya utolewaji wa…
VIDEO: Shabiki mtoto wa Portugal akimbembeleza wa Ufaransa aliyelia
Hakuna mtu ambaye hupenda timu anayoishabikia ifungwe au kushindwa kwenye fainali na katika hao mashabiki wako ambao wanahisia nzito zaidi kama huyu wa Ufaransa aliyeshikwa na machungu baada ya timu…
Bidhaa mpya ya Wema Sepetu… anavyoendelea kutengeneza pesa kwa jina lake
Nguvu ya mwigizaji staa wa Tanzania Wema Sepetu kutengeneza zaidi bidhaa zenye jina lake na kuziuza kwa Watanzania inaendelea kuonekana, ni juzijuzi tu alileta lipstick zenye jina la KISS BY…
Uharibifu wa ajali ya Lori daraja la Kigamboni jana matengenezo analipia nani?
Ilitokea ajali ya Lori lililokua na Kontena kwenye daraja la Nyerere Kigamboni Dar es salaam usiku wa kuamkia July 11 2016 ambapo ajali hiyo imesababisha majeruhi pamoja na eneo la…
EXCLUSIVE: Ni Watanzania wangapi wameweka namba binafsi kwenye magari yao Arusha?
Serikali ilitangaza kwamba wanaotumia namba binafsi za magari kote Tanzania watatakiwa kulipa shilingi milioni 10 kwa kipindi cha miaka tatu ikiwa ni ada mpya na sio milioni tano kama ilivyokuwa…
VIDEO: Show ya usiku wa ‘Moyo Mashine’ na Ben Pol
Mtu wangu wa nguvu kama ni mpenzi wa burudani na kuparty ‘Usiku wa Moyo mashine’ na mkali wa RnB Ben Pol umefanyika July 10 2016 ndani ya Maisha Basement Dar es salaam,…
UEFA wametaja kikosi bora cha michuano ya Euro 2016
Siku moja baada ya michuano ya Euro 2016 kumalizika na timu ya taifa ya Ureno kutwaa taji Kombe hilo, leo July 11 2016 shirikisho la soka barani Ulaya UEFA limetaja…
VIDEO: Mpaka mwaka 2030 kila nyumba Tanzania itakua na umeme
Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo amezindua mpango wa nishati endelevu kwa wote (SE4ALL) wenye lengo la kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya uhakika kufikia mwaka 2030 ambapo amesema…