VIDEO: CHADEMA yahofia maafa Dodoma, India yaitangazia Tanzania neema
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 11 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=mUp_GNxcD6E ULIKOSA KAULI YA MBOWE KUHUSU BAVICHA KWENDA…
Ujio wa Usher Raymond Tanzania July 10 sema hutomuona kirahisi
Ugeni mwingine ambao Tanzania imekua ikitarajiwa kuwa nao toka juzi ya July 9 2016 ni ujio wa mwimbaji staa kutoka Marekani Usher Raymond ambaye anakuja Tanzania na moja kwa moja kwenda…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 11, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 11 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Kitu mama yake Ronaldo aliandika baada ya kuuona mwanae analia
Usiku wa July 10 2016 mchezo wa fainali ya Euro 2016 ulichezwa na kushuhudia timu ya taifa ya Ureno ikifanikiwa kutwaa Kombe la Euro kwa kuibuka na ushindi wa goli…
VIDEO: Jionee party ya Wema Sepetu, Idris, Bella na watu wao Dsm
Usiku wa July 10 2016 mastaa wa bongo Wema Sepetu, Idris Sultan na Christian Bella waliungana na watu wao Dar es salaam kwenye party hii ambayo ilitangazwa kwa siku kadhaa ambapo AyoTV ilikuwa…
VIDEO: Ureno imefuta uteja wa miaka 40 vs Ufaransa EURO 2016
Usiku wa July 10 2016 wapenda soka duniani macho na masikio yalikuwa Paris Ufaransa kushuhudia fainali ya EURO ambapo ilikua fainali ya Ufaransa vs Ureno huku ikiwa Ufaransa mara ya mwisho kufungwa na Ureno ni April…
VIDEO:Masanja Mkandamizaji amvisha pete mchumba wake.
Miongoni mwa vitu vinavyozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na picha zinazomuonyesha Masanja Mkandamizaji akimvisha pete msichana anaedaiwa kuwa mchumba wake,kwenye picha hizo Masanja na mchumba wake huyo wanaonekana…
Post ya mama yake Diamond Platnumz kuhusu Wema Sepetu
Mtu wangu wa nguvu najua mitandao ya kijamii ina nguvu sana siku hizi, jumapili ya July 10 2016 mama mzazi wa msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz amempost Wema Sepetu ambaye…
VideoMPYA: G Nako na Nikki wa II wametuletea hii video mpya inaitwa ‘laini’
Ni wakali kutoka WEUSI G Nako na Nikki wa pili wameungana pamoja kutuletea single nyingine ambayo humo ndani wameonekana watu wachache na mzigo ukakamilika ndani ya dakika 3 na sekunde 49,…
Sentensi za RC Paul Makonda kuhusu ugeni wa Waziri Mkuu wa India…
Ni July 10, 2016 ambapo Tanzania imepata ugeni kutoka kwa Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi ambae kupitia ujio wake ameahidi kusaidia katika utekelezaji wa Miradi ya Maji Dar es Salaam…