VIDEO: Wabunge UKAWA kutafuta posho kortini, wanandoa, mtoto wafa wakitoka kwa wakwe
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 06 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=fQ1Okmw8ivw ULIKOSA TRA WAMEZIKUSANYA HIZI TRILIONI KWA MWAKA…
Wema kaongea kuhusu Diamond kumpost Instagram
July 5, 2016 mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz aliingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kupost kwenye Instagram kuhusu watu kujitokeza kwa wingi kwenye show ambayo imeandaliwa na mpenzi wake wa zamani…
Sentensi za Darasa kuhusu Lina kuzaa na mwanaume kama mwenye sifa zake
Kama utakuwa unakumbuka Lina aliwahi kufunguka na kusema kuwa anatamani kuzaa na mwanaume mwenye sifa kama za rapper Darasa, sasa July 6, 2016 Ayo TV ilimtafuta Darasa kuzungumza kuhusu kauli…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 6, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 6 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Taarifa ya TRA kuhusu ukusanyaji wa mapato mwaka wa fedha 2015/2016
July 05 2016 Mamlaka ya Mapato Tanzania imetoa taarifa ya makusanyo ya mwezi June ambao ni mwezi unaofunga mwaka wa fedha 2015/2016. Kwa mwezi June pekee TRA imekusanya trilioni 1.4 na…
Bei za tiketi kwa watu watakaokwenda kuangalia mechi za Kombe la dunia 2018
Michuano ya Kombe la dunia 2018 itakayofanyika Urusi inakaribia kuanza kwani bado mwaka mmoja na miezi kadhaa, kwa kawaida Kombe la dunia hufanyika kila baada ya miaka minne, hivyo kama…
VIDEO: Polisi waelezea chanzo cha ajali ya mabasi ya City Boys Singida
July 04 2016 maeneo ya Maweni-Kintiku Singida mabasi mawili ya kampuni ya City Boys yaligongana na kusababisha vifo vya watu 30 na majeruhi 54 ambapo hadi leo wamebaki majeruhi 33 wakiendelea na…
Confirmed:Sikukuu ya Eid Jumatano July 06..
Taarifa ambayo imetolewa na Mufti Mkuu wa Tanzania Zubeir Bin Ally muda mfupi uliopita ni uthibitisho wa sikukuu ya Eid ul Fitr ambapo Waislam wote walikua wakisubiri kuandama kwa mwezi,Kwenye…
Baada ya miaka kadhaa,Diamond kampost Wema Sepetu kuhusu issue hii..
Mapenzi ya Diamond Platnumz na Wema Sepetu ni miongoni mwa mapenzi yaliokuwa kwenye midomo ya Watanzania wengi kutokana na watu wengi kuvutiwa na 'Couple' hiyo,mwishoni mwa mwaka 2014 waliingia kwenye…
Zamaradi kuhusu mahojiano na mwanaume anayejihusisha mapenzi ya jinsia moja
Kama utakuwa unakumbuka hivi karibuni mtangazaji wa Clouds TV, Zamaradi aliingia kwenye headlines za kufanya mahojiano na mwanaume anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Sasa leo July 5, 2016 amezungumza…