Baada ya ajali mfululizo zilizohusisha mabasi, polisi wamekuja na hii taarifa
Ni takribani wiki moja yametokea matukio makubwa matatu ya ajali za barabarani mfululizo ambayo yamehusisha mabasi yanayofanya safari zake mikoani, taarifa ya polisi imesema ajali hizo zimesababisha jumla ya vifo…
PICHA & VIDEO: Jose Mourinho alivyotambulishwa kwa mara ya kwanza Old Trafford
Baada ya Man City kumtambulisha Pep Gurdiola Etihad, leo July 5 2016 uongozi wa klabu ya Man United ya England walimtambulisha rasmi kocha wao Jose Mourinho Old Trafford. Mourinho ametambulishwa na kuongea vitu…
Mtanzania mmoja amebaki kwenye Urban Top 10 Hit ya Trace.
Ni fahari kwa kila msanii sasa hivi kuona video yake imechezwa kwenye TV za kimataifa kama Trace Urban usisahau kuwa Trace TV ni station ambayo ina mamilioni ya Watazamaji kwenye nchi mbalimbali…
VideoMPYA: Peter Msechu & Banana Zorro ‘Mama’
Peter Msechu ni mwimbaji wa bongofleva ambaye headlines zake zilianzia kwenye BSS, kisha PROJECT FAME na baadae akarudi kwenye mzunguko wa bongofleva, sasa good news ni kwamba star huyo ameungana na…
Sababu za Diamond kuhusu picha ya Alikiba kwenye ofisi za WCB….
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo July 5,2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya Diamond Platnumz…
AUDIO: Mume kamfungia mke mgonjwa miezi miwili mpaka majirani walipogundua
July 05 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM, kulitokea hekaheka kutokea maeneo ya kawe jijini Dar es salaam, ambapo Geah Habib ametusogezea hii ya Mume kumfungia ndani mke wake mgonjwa kwa miezi…
PICHA: Mwanasoka wa Ligi Kuu Tanzania bara amepata ajali ya gari
Bado ajali za barabarani zimezidi kuongezeka kila kukicha, baada ya July 4 2016 taarifa za mabasi mawaili ya kampuni moja ya City Boys kupata ajali kwa kugongana uso kwa uso…
Rais Magufuli atengua na kufanya uteuzi mwingine leo July 05 2016
Taarifa niliyoipokea kutokea ikulu inasema kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyonayo kwa mujibu wa kifungu cha 48 cha sheria ya tafsiri za…
Ukweli kuhusu taarifa za Mbwana Samatta kuhamia AS Roma ya Italia
Good news kwa watanzania wote kwa mwaka 2016 ilikuwa ni headlines za nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji, lakini…
VIDEO & PICHA 5: Mapokezi ya timu ya taifa ya Iceland ikirejea nyumbani
Maelfu ya mashabiki wa soka wa timu ya taifa ya Iceland walijitokeza katika mji mkuu wa nchi hiyo Reykjavík kuipokea timu yao ambayo ilikuwa inawasili kutokea Ufaransa ilipokuwa inashiriki michuano ya…