Una milioni zako na unataka kununua gari dogo la kutanulia town (picha 11)
Naongea na mtu wa nguvu yeyote ambaye anazo milioni zake na anataka gari flani dogo la kutanulia town, gari flani ambalo halifanani sana na mengine, aina flani ya gari ambayo…
‘Muuaji msikitini Mwanza alivyowaponyoka polisi’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Matatu aliyoyasema Charles Kitwanga mbele ya Waandishi nyumbani kwake
Ni zaidi ya mwezi mmoja umepita toka Charles Kitwanga kuvuliwa wadhifa wa Uwaziri wa mambo ya ndani ambapo Waziri huyu ambaye ni Mbunge wa Misungwi amezungumza na Waandishi wa habari nyumbani…
VIDEO: Mfanyabiashara wa Abu Dhabi alivyopigwa pingu na Polisi Marekani wakihisi ni gaidi
Matukio ya ugaidi ambayo yameendelea kutokea kwenye kona mbalimbali za dunia yameendelea kusumbua akili za watu kiasi kwamba Mfanyakazi mmoja wa hoteli moja ya Ohio Marekani alilazimika kupiga simu Polisi…
VIDEO: Ukali wa Magufuli wazua mafuriko TRA, Kitwanga akanusha taarifa ya Ikulu
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 05 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=L4Tpg4TUmhU ULIKOSA AGIZO LA RC MAKONDA KWA WAKUU…
PICHA 15: DC Gondwe rasmi ofisini kwake
Mtangazaji mkongwe Godwin Gondwe ni miongoni mwa wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa na Rais Magufuli ambaye mwishoni mwa wiki alikuwa ni miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya nane wa wilaya…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 5, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 5 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Usichukulie poa, tumesogezewa athari 9 zinazopatikana kwa kuvuta shisha
Huwenda kuna watu wangu bado wanachukulia poa suala la serikali kutoa katazo la matumizi ya shisha, katika vitu muhimu unatakiwa kuvijua ambavyo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul…
PICHA 3: Staa wa Man United kaanguka kwa kula chakula cha sumu
Beki wa kati wa klabu ya Manchester United ya England ambaye pia anachezea timu ya taifa ya England Chris Smalling jina lake limeingia kwenye headlines baada ya kuanguka na kupasuka…
TOP 10 ya mastaa wa soka waliocheza Euro 2016 wakiwa na swaumu
Duniani kote kwa sasa Waislamu wanafanya ibada ya kutimiza moja kati ya nguzo tano za imani ya dini yao, huu ni mwezi mtukufu wa Ramadhani. Sasa kwenye mwezi huu inawezekana…