Mabibi na Mabwana Lina anayofuraha kutuonyesha hii video yake mpya
Msanii Lina Sanga anazimiliki headlines July 4, 2016 kwa kuachia video mpya ya single yake iitwayo 'IMANI', video imetayarishwa na director Joowzey, ukishamaliza kuitazama hii video sio mbaya ukituachia na comment…
EXCLUSIVE: Shilole kwenye headlines za kumsimamia msanii mpya…
Ni July 4, 2016 ambapo msanii kutoka Bongoflevani, Shilole kupitia Ayo TV amemtambulisha msanii wake mpya aitwae Gaucho ambaye atakua akisimamiwa kazi zake kwenye label ya Shilole. Akizungumza na Ayo TV…
Time kuienjoy hii single mpya kutoka kwa Diva ft Mr Blue, Billnass…
Inawezekana ulimiss sauti ya mtangazaji wa Clouds FM Loveness aka Diva The Bawse kwenye uimbaji, sasa basi leo amevunja ukimya kwa kuachia single yake iitwayo Baby Boy amewashirikisha Mr Blue na…
VIDEO: Baada ya Gurdiola kutambulishwa Man City, kasajili kiungo mpya
July 3 2016 klabu ya Manchester City ilimtambulisha rasmi kocha wao mpya Pep Gurdiola katika klabu ya Man City mbele ya zaidi ya mashabiki 5000, ikiwa ni siku moja imepita…
Sababu zinazofanya filamu za Tanzania zisitoboe kimataifa…(VIDEO)
Msanii wa filamu, Gabo Zigamba ametoa ya moyoni kuhusu mapungufu ambayo yanafanya filamu za Tanzania kutofanya vizuri katika nchi kubwa hasa zile za kimaitafa. Akizungumza na Ayo TV alisema....'Pungufu la…
PICHA 10: Mabasi mawili yagongana leo na kusababisha vifo Singida
Taarifa za awali ambazo zimeripotiwa hivi punde ni kuhusu ajali iliyohusisha mabasi mawili, Kamanda polisi mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka amesema ajali ya basi namba T 531 BCE likitokea Dar es salaam…
EXCLUSIVE: Faiza Ally aeleza sababu za kutoonekana Reality show yake
Msanii wa filamu, Faiza Ally ameeleza kitu ambacho kimesababisha reality TV show yake 'Star' kushindwa kuoonekana EATV licha ya kukubaliana na uongozi wa runinga hiyo kirushwe. Akizungumza na Ayo TV…
Shahidi akwamisha Kesi ya IPTL dhidi ya Zitto
Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ilifungua kesi ya madai ya fidia ya Sh. bilioni 500 Mahakama kuu, kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Zitto Kabwe.…
VIDEO: Agizo la RC Makonda kwa wakuu wa wilaya, atayeshindwa kuondolewa
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amewaagiza amewaagiza wakuu wa wilaya zote tano kusoma mazingira ya maeneo yao pia ametoa onyo la kuwaondoa wakuu wote watakaoshindwa kutekeleza…
Pichaz 10: Kutoka kwenye uapishwaji wa Wakuu wa Wilaya tano za Dar
June 26 2016 Rais John Magufuli aliwateua jumla ya Wakuu wa Wilaya 139 ambapo Mkoa wa Dar waliteuliwa Wakuu wa Wilaya wa Tano, Taarifa hii ikufikie Mtu wangu baada ya uteuzi…