CONFIRMED: List ya wachezaji 30 wa Simba watakaotumika msimu wa 2016/2017
Baada ya klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba kufanya usajili kimya kimya na kwa usiri mkubwa, July 1 2016 walitangaza kocha wao mpya Mcameroon Joseph Omog na leo July 2…
Ulishawahi kufikiria kuwepo kwa wizara ya mambo ya furaha?
Kuwa na furaha na amani katika maisha kunachangia maendeleo kwa kiasi kikubwa kulinganisha na pale ambapo vyote hivyo vinapokosekana. Hivyo serikali ya India imeamua kuanzisha wizara itakayo simamia na kuhakikisha…
‘Freemason yatibua fedha za TASAF mkoani Singida’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: JPM awaweka majaribuni ma-DC 20, Alli alivyoiibia nchi mil 7 kila dakika
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 02 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=sKRHgVRVkqc ULIKOSA UFAFANUZI WA TRA KUHUSU 18% VAT…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo Julay 2, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Julay 2 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Wales wameifuata Ureno nusu fainali Euro 2016
Baada ya usiku wa June 30 2016 kushuhudia robo fainali ya kwanza ya Euro 2016 na kushuhudia timu ya taifa ya Ureno inayoongozwa na mchezaji bora wa dunia mara tatu…
PICHA: Uthibitisho wa Zlatan Ibrahimovic kujiunga na Man United
Baada ya June 30 2016 Zlatan Ibrahimovic kutangaza kuwa atajiunga na Man United, usiku wa July 1 2016 kupitia mitandao ya kijamii na mitandao mikubwa ya habari za michezo duniani…
VIDEO: TRA yafafanua 18% ya VAT kwenye huduma za kifedha
Leo July 01 2016 Mamlaka ya mapato Tanzania ‘TRA imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za upotoshaji kuhusu marekebisho ya sheria ya kodi ya ongezeko la thamani ‘VAT’ ya mwaka 2014. Kamishna mkuu…
AUDIO: Mambo ya kufahamu kutoka kwa Jaji mkuu kuhusu mahakama ya mafisadi
Mahakama ya mafisadi iliyoahidiwa na Rais Magufuli wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2015 ambayo itakuwa ni maalumu kwa ajili ya kushughulikia makosa ya rushwa na ufisadi imeripotiwa kuanza leo…
Ufafanuzi wa TRA kuhusu ongezeko la thamani kwenye huduma za kifedha
Baada ya Bunge la Tanzania kupitisha marekebisho ya sheria ya kodi ya ongezeko la thamani 'VAT' ya mwaka 2014 kuanzia July 01 2016 kwenye huduma za kifedha kwa kurekebisha kifungu…