VIDEO: Alichokizungumza Tundu Lissu baada ya kupata dhamana
June 30 2016 Mbunge wa Singida Mashariki, 'CHADEMA' Tundu Lissu amesomewa shitaka lake la kutoa maneno ya uchochezi nje ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu June 28 2016 kinyume cha kifungu…
VIDEO: Ureno yatinga nusu fainali ya Euro 2016 kwa mikwaju ya penati
Baada ya kusimama kwa takribani siku mbili kwa ajili ya mapumziko ya mechi za Euro 2016, usiku wa June 30 2016 ulichezwa mchezo wa kwanza wa robo fainali ya michuano…
Audio: Ngoma mpya ya Wizkid na Chrisbrown iko hapa
Good news kwa wasanii Afrika kuzidi kufanya vizuri katika tasnia nzima ya muziki ambapo wizkid amezichukua Headlines leo June 30 2016 kupitia kituo kikubwa cha kimataifa MTV Base wameripoti kuwa Wizkid…
CONFIRMED: Usijiulize tena Zlatan atajiunga timu gani baada ya PSG
Baada ya jina la Zlatan Ibrahimovic kuingia kwenye headlines muda mrefu, kuhusiana ni klabu gani atajiunga nayo msimu ujao baada ya kumalizana na klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa,…
TBT : Picha za utoto za wanamichezo maarufu duniani Messi, Torres na LeBron James
Mtu wangu wa nguvu leo ni alhamisi ya mwisho katika mwezi wa June 2016, kuna mambo mengi sana ambayo najua ungependa kufahamu kutoka kwa mastaa wako mbalimbali toka walipokuwa watoto…
VIDEO: Zisikupite faida kuu 6 za kuanzishwa kwa mahakama ya mafisadi
Wakati serikali ikisubiri kuanzishwa kwa mahakama ya mafisadi Tanzania itakapofika July 2016, June 30 2016 Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwa bungeni Dodoma ametoa faida kuu sita za kuanzishwa kwa mahakama…
Baada ya kulala rumande, Lissu amefikishwa mahakamani leo June 30 2016
June 29 2016 Mbunge wa Singida Mashariki 'CHADEMA' alisweka rumande katika kituo kikuu cha polisi, Dar es salaam kwa madai ya kutoa kauli ya uchochezi kwa kumuita Rais wa nchi…
VIDEO: Mkubwa Fella aeleza faida za Mkubwa na Wanae ndani ya miaka mitano….
Meneja wa kituo cha kusimamia wasanii 'Mkubwa na Wanae' Said Fella ameelezea ndani ya miaka mitano kituo chake kimefanya kitu gani kwenye tasnia ya Bongo Fleva na mabadiliko yaliyoonekana. 'Mpaka…
Simba imempata kocha wa zamani wa Azam FC
Klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba leo June 30 imetangaza rasmi kupitia kurasa zake za mitrandao ya kijamii kuingia mkataba na kocha raia wa Cameroon Joseph Omog, Simba wametangaza kuingia…
VIDEO: Msanii mwingine akiri kutumia Dawa za kulevya takribani miaka miwili
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo June 30, 2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya Dogo…