VIDEO: Baada ya kuhojiwa kwa masaa matatu na polisi, Lissu kalala rumande
June 28 2016 Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alifikishwa Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa ajili ya kujibu tuhuma za uchochezi kupitia gazeti la mawio kwenye habari yenye kichwa…
VIDEO: Harmonize kayaongea haya kuhusu kujifunza lugha
Mkali wa Bongo fleva, Harmonize ambaye ni msanii wa kwanza kusainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz (WCB), amekaa kwenye interview hii na Millard Ayo na amezungumzia kuhusu kujiendeleza zaidi katika masuala ya lugha,…
VIDEO: Headlines za Madee kwenye sakata la kukimbizwa na Polisi……
NI June 29, 2016 ambapo msanii wa Bongofleva, Madee amefunguka kuhusu sakata la kukimbizwa na polisi wakati akiwa kwenye hifadhi ya wanyama huko Mikumi. Akizungumza na Ayo TV alisema.....'Tulikuwa tuko mbugani…
LIVE MATCH: Angalia mechi ya Medeama vs MO Bejaia
Bado mechi za Kundi A za michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika inaendelea kama kawaida, kwa Tanzania Yanga ndio muwakilishi pekee na yupo Kundi A lenye timu za Medeama…
Tundu Lissu kaitikia wito wa polisi, kahojiwa kwa masaa matatu
June 28 2016 Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alifikishwa Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa ajili ya kujibu tuhuma za uchochezi kupitia gazeti la mawio kwenye habari yenye kichwa…
Kabla ya robo fainali ya Euro 2016, tazama magoli bora ya hatua ya Makundi
Imebaki siku moja tu michuano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama Euro 2016 hatua ya robo fainali ianze, najua tayari umeshazifahamu timu 8 zilizofanikiwa kufika katika hatua ya robo fainali…
Quick Rocka atamani Kajala kuingia kwenye fani hii….
June 29, 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hizi kutoka Perfecto TV, msanii wa Bongofleva, Quick Rocka amezungumza…
Mahakama Kuu Arusha yatengua matokeo yaliyompa ushindi Mbunge wa CHADEMA
Leo June 29 2016 Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imetengua matokeo ya ushindi yaliyompa Ubunge, Onesmo Nangole 'CHADEMA' jimbo la Longido kutokana na udanganyifu. Akisikiliza kesi hiyo Jaji Sivangilwa Mwangesi amesema…
‘Maharusi wapigwa marufuku kupaka shedo’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Alichokiandika Rais Magufuli kuhusu ugunduzi wa gesi ya Helium nchini Tanzania
June 28 2016 ziliripotiwa taarifa kuwa watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford na kile cha Durham kwa ushirikiano na wataalamu wa madini kutoka Norway wamegundua uwepo wa takriban futi bilioni…