PICHA 20: Shambulio la kujitoa muhanga lasababisha vifo uwanja wa ndege Uturuki
Imeripotiwa kuwa watu 36 wameuawa katika shambulio la kujitoa muhanga katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ataturk Istanbul nchini Uturuki na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa, shughuli za usafirishaji…
VIDEO: Maisha ya kukaukiwa fedha mfukoni yafika, Mbunge ataka CUF ifutwe Z’bar
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 29 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=hRcFvLZRv-4 ULIKOSA HII YA TUNDI LISSU KUFIKISHWA…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 29, 2016kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 29 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Linah na akaunti yake ya Instagram, Dogo janja Remix na Radio & Weasel wa Uganda
Imekuwa kama mchezo watu kuhack akaunti za social media za wasanii pamoja na watu wa mbalimbali. Baadhi ya watu ambao akaunti zao za mitandao ya kijamii zilishawahi huwa hacked ni Joh…
VIDEO: Goli la mechi ya Yanga vs TP Mazembe June 28 2016, Full Time 0-1
June 28 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans ilicheza mchezo wake wa pili wa Kundi A wa Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya TP Mazembe ya Jamhuri…
VIDEO: Hospitali ya Muhimbili yapokea vifaa vya kusaidia watoto
Mgodi wa dhahabu wa Geita 'GGM' June 28 umetoa vifaa vya msaada katika hospitali ya Muhimbili vyenye thamani ya shilingi milioni 23 ili kusaidia jitihada za serikali katika kuboresha huduma…
Taarifa ya kupimwa UKIMWI nyumba kwa nyumba yatolewa ufafanuzi
Baada ya kuwepo na taarifa mbalimbali zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zinazotokana na habari iliyoandikwa na kuchapishwa kwenye gazeti la Jambo leo la June 24 2016, toleo namba 2482 yenye…
Yanga imepoteza mchezo wa pili wa CAF dhidi ya TP Mazembe
June 28 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans ilirejea katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambao ndio uwanja inaoutumia kama uwanja wake wa nyumbani kucheza mechi yake…
VIDEO: Goodluck Mlinga kahoji serikali kutenga fedha kumaliza tatizo la maji
June 28 2016 bado tunazihesabu headlines za bungeni Dodoma, katika kipindi cha maswali na majibu mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga alisimama kuomba serikali kukamilisha mradi wa maji jimboni kwake ambao…
Tundu Lissu afikishwa Mahakamani leo kujibu tuhuma za uchochezi
Kesi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na wenzake watatu ambao wanatuhumiwa kwa kufanya uchochezi kupitia gazeti la mawio kwenye habari yenye kichwa kinachosema 'Zanzibar Machafuko yaja' imeendelea leo…