Video: Maamuzi ya Paul Makonda kwa engineer wa Mkoa wa Dar
Ni June 27, 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemsimamisha kazi engineer Mkuu wa Mkoa wa Dar, Josephat Shehemba kwa kushindwa kusimamia majukumu yake vyema. ‘Kwa muda mrefu…
VIDEO: ‘Wamama wanaopewa mimba na watoto nao wafungwe jela’ -Edward Mwalongo
Serikali imependekeza muswada wa sheria kwa watoto ambapo imeelekeza kuwa mtu atakayempa mimba mtoto atahukumiwa kifungo cha jela miaka 30, mbunge wa Njombe mjini Edward Mwalongo amesema hata wale wakinamama…
Video: Alichokiongea Diamond Platnumz baada ya Tuzo za BET
June 27 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hizi kutoka Perfecto TV, Diamond Platnumz amefunguka baada ya tuzo…
VIDEO: Serikali imetangaza muswada mpya wa sheria ya wanaowapa watoto mimba
June 27 2016 bunge la 11 litany mapitio ya marekebisho ya muswada wa sheria ya mtoto ambayo imeelekeza kuwa mtu atakayempa mimba mtoto ambaye kisheria anafahamika ni yule mwenye umri…
VIDEO: Magoli yalioivua Ubingwa wa Euro Hispania dhidi ya Italia
Michuano ya Euro 2016 imeendelea tena kwa michezo miwili kukamilisha hatua ya 16, mchezo wa Hispania mabingwa watetezi wa Euro walicheza dhidi ya timu ya taifa ya Italia katika mchezo…
Majambazi waliotikisa Mwanza na Tanga wauawa
Katika matukio ya mauaji yaliyotikisa Tanzania hivi karibuni ni pamoja na tukio la mauaji ya watu wanane Tanga na mengine yaliyofanyika msikitini mkoani Mwanza. Leo June 2016 Jeshi la polisi…
PICHA 7: Kitwanga alivyokabidhi ofisi kwa Waziri wa mambo ya ndani Mwigulu Nchemba
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amekabidhiwa ofisi rasmi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,…
Hatua zilizochukuliwa na RC Paul Makonda kwa engineer wa Barabara…..
Ni June 27, 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemsimamisha kazi engineer Mkuu wa Mkoa wa Dar, Josephat Shehemba kwa kushindwa kusimamia majukumu yake vyema. 'Kwa muda mrefu…
VideoMPYA: Yamoto Band ft Ruby “Su” imeachiwa tayari, itazame hapa
Audio ya single hii ilitoka wiki kadhaa zilizopita ila leo june 27 2016 vijana wa Yamoto Band wameachia rasmi video yao mpya ya “Su” ambayo wamemshirikisha Ruby…. ukishaitazama unaweza kuacha comment yako ili wakipita…
VIDEO: Hussein Bashe vs Mwanasheria mkuu Masaju ishu usajili wa makampuni
Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe amesimama bungeni kuchangia katika mabadiliko ya kodi kwenye soko la hisa na kusisitiza makampuni kujisajili, umiliki wa watanzania katika makampuni kuwa asilimia 35 tofauti…