VideoFUPI: Ni kweli Yanga hawajawaomba Simba kumtumia Kessy?
Najua umesikia stori za beki mpya wa Yanga aliyejiunga nayo akitokea Simba Hassan Kessy kutoruhusiwa kucheza mechi za CAF akiwa na Yanga hadi pale Simba watakapotoa ruhusa au barua ya…
VIDEO: Snura kapeleka script ya ‘chura’ kukaguliwa, maamuzi ya bodi haya hapa
Ni miezi kadhaa sasa tangu video ya 'chura' kufungiwa na serikali hadi itakaporekebishwa, Snura amewasilisha script bodi ya filamu kwa ajili ya kuifanyia video nyingine, AYO TV imetaka kujua maamuzi ya bodi…
Baraka Da Prince aeleza sababu kutofanyika collabo yake na Sauti Sol..(VIDEO)
Kama utakuwa unakumbuka miezi iliyopita msanii kutoka Bongoflevani, Baraka Da Prince aliwahi kuzungumza mipango ya kwenda Nairobi kuandaa collabo yake na Sauti Sol, sasa leo kupitia Ayo TV amezungumza ukweli…
VideoFUPI: zikionesha Diamond akiwa katika Red Carpet ya BET Awards 2016
Usiku wa June 26 ndio tuzo za muziki za BET zimemalizika kutolewa kwa mwaka 2016. Kila mtu ametokelezea kivyake mtu wangu.hapa nimekuwekea video fupi za msanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz…
Maamuzi ya Lionel Messi baada ya kukosa World Cup na Copa America
Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi mtandao wa 90min.com unaripoti kuwa staa huyo ametangaza kustaafu kuichezea timu yake ya taifa ya Argentina kufuatia kukosa kutwaa taji lolote…
‘Watanzania mil 39 wanakunywa mataputapu’, mikoa hii yaongoza kwa wanywaji
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Meli ya mizigo yazama Z’bar, Magufuli awapiga chini ma-DC 100
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 27 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=JbnFukDVwEc ULIKOSA HII YA CHANZO CHA UGONJWA…
VIDEO: Fainali ya tatu Argentina wanaondoka bila Kombe, Chile Bingwa wa Copa America
Alfajiri ya June 27 2016 ndio ilikuwa siku ambayo mashabiki wa soka la bara la America macho na masikio yao yote yalikuwa New Jersey Marekani katika uwanja wa MetLife, lengo…
PICHA 13:Muonekano wa baadhi ya mastaa kwenye fainali tuzo za BET
Usiku wa June 26 ndio tuzo za muziki za BET zinamalizika kutolewa kwa mwaka 2016. Kila mtu ametokelezea kivyake mtu wangu. Hizi ni baadhi ya picha za wasanii katika Red na Gray…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 27, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…