Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 17, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Stand United wametangaza kuishitaki TFF
Najua ni siku ya pili toka Dk Jonas Benedict Tiboroha athibitishe kujiunga na uongozi wa Stand United kama mshauri wa benchi la ufundi, katika exclusive interview na ripota wa millardayo.com…
Fainali ya tano, Poland haijawahi kuifunga Ujerumani
Michuano ya Euro 2016 imeendelea kama kawaida June 16 2016, michuano inazidi kuwa migumu kutokana na timu kuingia katika round ya pili ya hatua ya Makundi, hivyo zinahitaji point ili…
Mbunge wa Leba Uingereza auawa
Mbunge wa chama cha Leba nchini Ungereza Jo Cox amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mara tatu na kuchomwa kisu akiwa katika eneo la bunge kaskazini mwa uingereza. Cox ndiye…
VIDEO: Mbunge Ulega kampa mtoto wake jina la naibu spika ‘Tulia’
Moja ya headline iliyotoa nafasi bungeni ni pamoja na hii ya mbunge wa Mkuranga Abdallah Ulega kuamua kumpa mtoto wake jina la 'Tulia' ikiwa ni ishara ya kukubali uwezo wa…
VIDEO: Mambo manne ya mbunge Rose Tweve ‘watu 398 wanafariki kwa kujifungua’
Mbunge wa viti maalum CCM Rose Tweve ni moja kati ya wabunge waliopata nafasi ya kuchangia katika bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Katika mambo ambayo bado…
VIDEO: Wabogojo afunguka fursa zilizopo Maccau China
Mchekeshaji ambaye ni Mtanzania anayefanya kazi zake za sanaa Maccau nchini China Wabogojo, amezungumza na Millard Ayo alipotembelea ofisi zake na kuzungumzia fursa mbalimbali ambazo watanzania wanaweza kunufaika nazo huko…
AUDIO: Waziri Mwijage azungumzia hali ya uzalishaji wa sukari nchini
Ishu ya uhaba wa sukari imekuwa kwenye headlines kwa muda sasa, millardayo.com imezungumza na Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage ambapo ameeleza hali ya uzalishaji wa sukari kwenye viwanda vya…
VIDEO: ‘Nitoe wito kwa watanzania kuhusu hali ya usalama’-Waziri mkuu Majaliwa
June 16 2016 Waziri mkuu Kassim Majaliwa amejibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge, moja ya swali alilolitolea maelezo ni pamoja na hili la mbunge wa Singida mjini Mussa…
AUDIO: Madhara ya kunywa vinywaji vya moto kupindukia
Utafiti umetolewa na jarida la kitabibu ambao uliendeshwa na wanasayansi 23 chini ya taasisi ya kimataifa ya utafiti wa saratani ya shirika la afya Duniani 'WHO'. Wanasayansi hao walitakiwa kuangalia…