Video: Ifahamu sababu kwanini barnaba haingii na dancers on stage
June 15 2016 nakukutanisha na stori hizi za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hii ya Barnaba kwanini haingiagi na dancers kwa…
Ripoti ya matukio ya kikatili kwa watoto Ilala ndani ya miaka mitatu hii hapa
Kuelekea siku ya mtoto Afrika ambayo huadhimishwa June 16 kila mwaka, mwaka huu ina kauli mbiu 'ubakaji na ulawiti wa watoto vinaepukika chukua hatua kumlinda mtoto' Kuanzia mwaka 2013 Manispaa…
Nukuu ya Maalim Seif ‘Lipumba asahau uenyekiti CUF’ yatolewa ufafanuzi
Baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii June 15 2016 vimeamka na habari yenye kichwa cha habari ambacho kimenukuu Katibu Mkuu wa chama cha CUF, Maalim Seif akisema 'Prof.…
VIDEO: Majibu ya Naibu waziri Antony Mavunde kuhusu walemavu nchini
June 15 2016 bunge la 11 limeendelea Dodoma, katika kipindi cha maswali na majibu nakukutanisha na majibu ya Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi, ajira na vijana Antony Mavunde…
Mwigulu Nchemba on air with Millardayo kataja list ya wasanii anaowasikiliza
Aliyekuwa waziri wa Kilimo na mifugo Mwigulu Lameck Nchemba ambaye June 13, 2016 aliapishwa rasmi Ikulu Dar es Salaam kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi, alipata time na akapita…
Man United hawawezi kufurahishwa na maamuzi haya ya Sweden kwa Zlatan
Sweden leo June 15 2016 wameamua kutangaza kikosi chao kitakachoshirikiki mashindano ya Olympic Brazil, habari zinazotajwa kuwa haziwezi kuwa nzuri kwa Man United ni kuwa staa wanaehusishwa nae kumsajili baada…
VideoFUPI: Wizara ya Elimu yabaini ‘madudu’ mikopo elimu ya juu
February 16 2016 Waziri wa Elimu, Prof. Ndalichako aliwasimamisha kazi baadhi ya watendaji wa juu wa Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kutokana na kutotekeleza majukumu yao…
VIDEO: Mbunge Bashungwa kaomba kujengwa kwa uwanja aliopigia push up Rais Magufuli
June 15 2016 moja ya headline bungeni ni pamoja na hii ya mbunge wa Karagwe Innocent Bashungwa aliposimama kuomba serikali iboreshe uwanja wa kayanga uliopo jimboni kwake ikiwa ni kumbukumbu…
Video: Alichokiongea Nuh Mziwanda kwa Shilole baada ya video ya Jike Shupa
Nuh Mziwanda ni staa kutoka bongoflevani ambaye anafanya vizuri kwa sasa na hitsingo yake ya Jike Shupa wimbo ambao amemshirikisha Alikiba, June 12 2016 Nuh Mziwanda alitumia mtandao wake wa instagram kuandika…
Tamko la TCRA kuhusu Simu Feki kuzimwa June 16 ifikapo saa sita usiku
Ni June 15, 2016 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yenye dhamana ya kusimamia shughuli za Mawasiliano ya Kielektroniki wametoa tamko la mwisho kwa wananchi wanaoendelea kutumia simu bandia ambazo matumizi…