Ratiba ya Ligi Kuu England imetoka leo June 15 2016
Kama wewe ni shabiki la Ligi Kuu England ratiba ya Ligi kwa ajili ya msimu wa 2016/2017 imetoka, rasmi sasa Ligi Kuu England msimu wa 2016/2017 itaanza kuchezwa rasmi Jumamosi…
VIDEO: Vifo vya wazazi bado tatizo, mbunge Juliana kataka serikali kujipanga
Mbunge wa viti maalum CCM Juliana Shonza alipata nafasi ya kuchangia katika bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Licha ya kuipongeza serikali katika jitihada zake lakini hajaridhishwa…
Shirika la Ndege la KLM latuhumiwa kwa ubaguzi
Shirika la ndege la Uholanzi KLM limeingia kwenye tuhuma za ubaguzi wa rangi baada ya mmoja wa wasafiri wa ndege hiyo ambaye ni Mtanzania, Patrick Ngowi kupitia ukurasa wake wa…
Video: Babu Tale kayaongea haya kuhusu Diamond Platnmuz na Alikiba
June 13 2016 Headlines zilianza kuchukulia kwenye mitandao ya kijamii baada ya picha inayowaonesha meneja wa Diamond Platnum, Babu Tale na Salaam wakiwa katika picha moja na Alikiba , baadhi ya…
VIDEO: ‘Kama mnatukata kodi mkateni hadi Rais ‘-Mbunge Hussein Bashe
Wakati mjadala wa kuijadili bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2917 mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe amesimama bungeni kusisitiza kama serikali imeamua kuwakata kodi wabunge basi ihakikishe…
Video: CRDB wamemkabidhi Paul Makonda milioni 100
Baada ya Rais Magufuli kutangaza elimu bure kuanzia elimu ya msingi mpaka kufikia kidato cha nne, kumekuwa na changamoto kubwa ya uhaba wa madawati ambapo Serikali ilianzisha kampeni ya uchangiaji…
VIDEO: Maalim Seif aelezea machungu yake Marekani, Simu feki Kizaazaa
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 15 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=ZIsz6dDGyKs ULIKOSA HII YA MBUNGE LUSINDE 'MOJA…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 15, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 15 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
List ya video 8 za bongo zinazoendelea kupata airtime Trace na MTV Base
June 14 2016 nakusogezea list ya video 8 za Bongo ambazo zinaendelea kupata airtime katika vituo vikubwa vya TV, Tunafahamu kuwa Trace na Mtv Base ni moja kati ya vituo…
AUDIO: Majibu ya Azam FC kuhusu kufanya usajili wa wachezaji wapya
Baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Tanzania, tumeshuhudia baadhi ya vilabu tayari vikiwa vimeanza kufanya usajili wa wachezaji wapya, ila kwa upande wa Azam FC kupitia kwa afisa habari wake…