AUDIO: Baada ya watu kuzibwa wasitazame TV, ugomvi waibuka na kusababisha vifo.
June 14 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM, Geah Habib ametuletea Hekaheka inayohusu tukio la kusikitisha lililotokea eneo la Kitunda Dar es salaam ambapo watu wawili wameuawa kwa kuchomwa kisu. Mmoja alikuwa ni…
VIDEO: Mbunge William Ngeleja hajapendezwa na serikali kuwapandishia kodi bodaboda
Wakati bunge likiendelea kuijadili bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 nakukutanisha leo na mbunge wa sengerema William Ngeleja alipopata nafasi ya kusimama kutusogezea takwimu ya watanzania masikini…
Usishangae ukisikia Zlatan Ibrahimovic hajajiunga na Man United
Kwa zaidi ya wiki tatu sasa jina la staa wa soka wa kimataifa wa Sweden aliyekuwa anaichezea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, lilikuwa likitajwa kwa kiasi…
Pichaz 15: CRDB wamemkabidhi Paul Makonda milioni 100
Baada ya Rais Magufuli kutangaza elimu bure kuanzia elimu ya msingi mpaka kufikia kidato cha nne, kumekuwa na changamoto kubwa ya uhaba wa madawati ambapo Serikali ilianzisha kampeni ya uchangiaji…
VIDEO: Mbunge Catherine Magige amehoji vijana kushinikizwa kuandamana kwa kukosa ajira
Katika kipindi cha maswali na majibu bungeni June 14 2016 nakukutanisha na majibu ya Waziri Jenista Mhagama na Naibu wake Antony Mavunde waliposimama kujibu swali la Mbunge wa viti maalum…
‘Kamati ya Bunge yamhoji Naibu Spika, Tulia Ackson’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya stori iliyoandikwa kwenye…
VIDEO: Kilio chazidi Bungeni, bil 4.5 zazua balaa kwa wabunge, CUF wamkataa Lipumba
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 14 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=C2lPCYuclD4 ULIKOSA HII YA ZITTO KABWE KUOJIWA…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 14, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 7: Yanga walivyoamua kuanza mazoezi ya usiku Uturuki
Klabu ya Dar es Salaam Young Africans ambayo kwa sasa ipo Antalya Uturuki ikijiandaa na mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika dhidi…
Maneno ya RC Paul Makonda kwa wahamaji wa mitaa Dar es Salaam…(VIDEO)
Ni June 13, 2016 ambapo Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alikutana na Ayo TV kuelezea mikakati iliyopangwa na Serikali juu ya wahamaji wa mitaa. Akizungumza na…