VIDEO: Adhabu 4 kwa askari wasiotoa heshima ya ‘saluti’ ikiwemo kwa wabunge
June 13 2016 Naibu waziri wa kilimo,mifugo na uvuvi William Olenasha amesimama bungeni kujibu swali la Mbunge viti maalum CCM Fakharia Khamis aliyetaka kujua ni kwanini askari hawatimizi wajibu wao…
VIDEO: Aliyoyazungumza Zitto kuhusu kongamano la bajeti na yeye kusakwa na polisi
June 12 2016 chama cha ACT-Wazalendo kilikutana na waandishi wa habari kutoa taarifa kuhusu Kongamano lao la Bajeti walilokuwa wameliandaa kuzuiwa na polisi. Taarifa hiyo waliyoitoa ilisema kwamba katika kongamano hilo…
PICHA 3: Mwigulu Nchemba alivyowasili kumrithi Charles Kitwanga
June 13 2016 aliyekuwa waziri wa Kilimo na mifugo Mwigulu Lameck Nchemba aliapishwa rasmi Ikulu Dar es Salaam kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu ameapishwa kurithi nafasi…
VIDEO: ‘Pandisheni bei ya petrol mtupunguzie sukari’-Mbunge Maji marefu
Wakati wabunge wakiendelea kuijadili bajeti kuu ya serikali trilion 29.5, Mbunge wa Korogwe vijijini Stephen Ngonyani maarufu kama Maji marefu amesimama bungeni kuhoji sababu za serikali kusahau kuongelea suala la sukari katika bajeti…
Sentensi sita za Zitto Kabwe baada ya polisi kuzuia Kongamano la Bajeti
Baada ya polisi kuzuia kongamano la Bajeti lililokuwa limeandaliwa na chama cha ACT-Wazalendo ambapo kongamano hilo lililenga kumpa fursa ya pekee kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe kusema yale ambayo…
Habari kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania June 13 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. https://twitter.com/millardayo/status/742193261310300160 https://twitter.com/millardayo/status/742196921134120961 https://twitter.com/millardayo/status/742198060546203649 https://twitter.com/millardayo/status/742207054266433536…
VIDEO: Mwigulu arundikiwa Mizigo 10, Sakata la kubenea, Mwinyi, mambo sasa yaiva
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 13 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=iwRVDzWUQD8 ULIKOSA HII YA ACT-WAZALENDO KUONGEA BAADA…
VIDEO: Brazil wameondolewa Copa America kwa goli linaloaminika kuwa la mkono
Timu ya taifa ya Brazil imekumbana na wakati mgumu katika mchezo wa Copa America 2016 dhidi ya Peru uliochezwa alfajiri ya June 13 2016, mchezo huo wa Kundi B ulikuwa…
PICHA 15: Eneo la Club ambapo watu takribani 50 wameuawa shambulio la Kigaidi Marekani
June 12 2016 Wamarekani waliamka na habari za kushtukiza sana ambapo mauaji makubwa zaidi yametokea nchini humo baada ya kijana Omar Saddiqui Mateen mwenye miaka 29 kuingia club moja jimboni…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 13, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…