Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 12, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
Maneno ya Ruby na Aslay yanayoashiria kuwa ni wapenzi
Kama wewe ni mmoja wa watu wanaotumia mitandao ya kijamii hususani instagram, najua huenda ukawa umekutana na post za mastaa wa Bongofleva Ruby na Aslay ambazo zinatafsirika kama wapo kwenye…
EXCLUSIVE PICHA 14: Producer Manecky kafunga ndoa leo Dar es Salaam
Ni June 11, 2016 ambapo mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva kutoka AM Records, Manecky amezimiliki headlines baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa longtime aitwae Lilian ambaye wana…
VIDEO: England imelazimishwa sare na Urusi Euro 2016
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeendelea kama kawaida, mechi kubwa ya Euro kwa leo ilikuwa ni mchezo kati ya timu ya taifa ya England dhidi ya…
Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa Yanga nafasi ya uenyekiti na makamu
Najua mashabiki na wanachama wa Yanga wote walikuwa wanasubiri kwa hamu kujua matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa Yanga katika nafasi mbalimbali, hususani ya mwenyekiti na makamu wake. Katika…
Urban hit 30 ya Trace TV June 11 2016, East Africa wako watatu tu.
Bado ninaendelea kukusogezea video za Bongo pamoja na East Africa kwa ujumla ambazo zinaendelea kupata airtime katika vituo vikubwa vya TV barani Africa June 11 2016 kupitia Trace Urban top…
Video: Madame Rita kaingia rasmi kwenye utangazaji
Kwa miaka yote Tanzania imemjua kupitia show ya Bongo Star Search akiwa kama Jaji ambayo mara yake ya mwisho ilikua inaonekana kupitia CloudsTV, leo hii Madame Rita anayofuraha kuwaambia Watanzania kwamba anaingia na kwenye…
PICHAZ 9: Hii ndio couple iliyovunja rekodi duniani kwa ufupi.
Mtu wangu najua umeshaona couple nyingi duniani zenye kukuvutia na nyingine za kufurahisha, Leo June 11 2016 nimekusogezea picha tisa za couple ya watu wafupi duniani, zikiwaonyesha katika maisha yao ya…
Wachezaji 6 wa Azam FC wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa klabu
Baada ya mashabiki wa klabu ya Azam FC kupewa nafasi ya kupiga kura kuwachagua wachezaji bora wa klabu, leo June 11 2016 Azam FC kupitia tovuti yake ilitaja majina ya…
Rais Magufuli kapata mbadala wa Charles Kitwanga wizara ya mambo ya ndani
June 11 2016 taarifa kutoka Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu Dar es Salaam imetoa taarifa kuhusu maamuzi ya Rais John Pombe Magufuli kumteua mbunge wa Buchosa Dk Charles John Tizebe kuwa…