VIDEO: Ufaransa wamefanikiwa kuanza kwa ushindi Euro 2016 katika ardhi yao
Mtu wangu wa nguvu najua ulikuwa ni mmoja kati ya watu waliokuwa wanasubiria michuano ya Euro 2016 kufanyika, hiyo inatokana na mvuto wa mashindano hayo kukusanya nyota mbalimbali kupitia timu…
Dakika 30 za kumjua Hellen, Mtanzania aliyetajwa na FORBES kuwa Bilionea ajae
Jina lake ni Hellen Dausen na umri wake ni miaka 29 ( November 1986) na aliipiga chini ndoto yake aliyokaa nayo miaka kumi bila kumfanikisha kisha akaingia kwenye mbio za Ubilionea na…
VIDEO: Hellen aliyetajwa kuwa bilionea ajaye asimulia aliyoyapitia kabla ya kuanzisha kampuni
Mtanzania ambaye ni Miss Universe 2010, Hellen Dause alitajwa na jarida la Forbes Afrika kuwa miongoni mwa wajasiriamali walio chini ya umri wa miaka 30 kwa mwaka 2016 wanaotarajiwa kuwa…
Polisi Dar es salaam wamekuja na hii ripoti baada ya kufanya operesheni kali Jijini
Jeshi la polisi kupitia kwa Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam, Simon Sirro, amekutana na wanahabari na kuelezea oparesheni kali iliyofanywa na polisi jijini Dar es salaam ya…
PICHA14: Msafara wa Mazishi ya Bondia Mkongwe Muhammad Ali
Maelfu wamejipanga barabarani ili kumuaga bondia Maarufu Muhammad Ali wakati msafara ukipita kuelekea mji wa kwao Louisville, Kentucky ambapo leo June 10 2016 anatarajiwa kuzikwa huko. ULIKOSA ILIVYOKUWA KATIKA MAZISHI YA…
VIDEO: Manji kawaomba Yanga wamchague ila kama wanataka uwanja Jangwani, wanatakiwa wajue hili
June 10 2016 ndio ilikuwa siku ambayo uongozi wa kamati ya uchaguzi wa Yanga na wagombea wote walifunga kampeni zao ikiwemo mgombea wa nafasi ya uenyekiti Yusuph Manji, kubwa ni…
VIDEO: Mbunge kangi Lugola hakubaliani na wabunge kukatwa kodi ‘mnataka turudi mtaani mtucheke’
Baada ya serikali kutangaza bajeti yake ya mwaka 2016/2017 huku moja ya vipaumbele vya ukusanyaji kodi ikilengwa kutoka kwenye kodi za wabunge, Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola amesimama bungeni kupinga…
Makubaliano ya Rais Magufuli na Balozi wa Oman wakati akimuaga Ikulu jijini Dar es salaam
Rais John Pombe Magufuli ameagana na Balozi wa Oman hapa nchini Saoud Ali Mohamed al Ruqaishi ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini. Akizungumza na Balozi huyo, Ikulu Jijini…
VIDEO: Naibu Spika Tulia VS Mbunge Silinde bungeni, sheria ya kutumia neno ‘mheshimiwa’
Wakati vikao vya bunge vikiendelea Dodoma huku ishu kubwa ikiwa ni kuijadili hotuba ya bajeti kuu ya serikali, June 10 2016 Naibu spika Tulia Ackson alionyesha kutopendezwa na kitendo cha…
NIDA wameeleza hii mikakati ili kufanikisha kuwapatia Watanzania wote vitambulisho vya Taifa
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza kutoa vitambulisho vya Taifa vyenye saini ya mwombaji kuanzia mwezi Juni mwaka huu. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini…