AUDIO: Ni kweli Trafiki wameruhusiwa kukamata makosa 10 kila siku?
Wiki hii kumekuwa na taarifa ambayo iliandikwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa askari wa usalama barabarani anatakiwa kukamata makosa yasiyopungua kumi kwa siku, leo June 08 2016 kamanda…
VIDEO: MC Pilipili alipokuwa chuo kuna vitu vilimchochea kuachana na ualimu na kuwa mchekeshaji
Mchekeshaji maarufu bongo Mc Pilipili amezungumzia maisha yake jinsi alivyokuwa chuo na watu kukubali kipaji chake cha kuchekesha na kuamua kuwa mchekeshaji rasmi, hii ni interview yake alipokutana na Millard…
VIDEO: Serikali imetangaza kutenga trilion 29.5 kama bajeti yake kuu kwa mwaka 2016/2017
June 8 2016 Serikali kupitia Wizara ya fedha na mipango imewasilisha bungeni Dodoma mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2016. Jukumu la kuwasilisha limefanywa na…
VIDEO: Aliyoyazungumza Zitto Kabwe baada ya kuhojiwa na polisi Dar es salaam
Leo June 08 2016 Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefika Makao makuu kanda maalum ya Dar es salaam, ikiwa ameitikia wito wa polisi. Zitto amefika kituoni hapo na ametakiwa atoe…
VIDEO: Waziri Mpango alivyopokelewa wakati akiingia kusoma bajeti kuu bungeni
June 8 2016 Waziri wa fedha na mipango kupitia kwa Waziri wake Philip Mpango imewasilisha bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017.…
Usishangae ukimuona Kavumbagu wa Azam FC akiichezea Mbeya City msimu ujao
Klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya leo June 8 2016 imethibitisha kuwa katika hatua za mwisho za kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi anayeichezea klabu ya Azam FC Didier…
CONFIRMED: Man United imemsajili Eric Bailly leo June 8 2016
Klabu ya Manchester United ya Uingereza leo June 8 2016 imefanikiwa kumsajili beki wa kati wa kimataifa wa Ivory Coast aliyekuwa anaichezea klabu ya Villarreal ya Hispania Eric Bertrand Bailly. Man…
VIDEO: Serikali imetenga Trilion 11.8 ili kutekeleza miradi ya maendeleo, vipaumbele vikuu vinne vimetajwa
Wakati dakika zikiendelea kuhesabiwa ili kuisikia bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ikiwasilishwa bungeni nakusogezea hii taarifa ya hali ya uchumi 2015 na mpango wa maendeleo wa…
Mambo matano yaliyoibuka wakati wa mahojiano ya Zitto Kabwe na Polisi
Leo June 08 2016 Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefika Makao makuu kanda maalum ya Dar es salaam, ikiwa ameitikia wito wa polisi. Zitto amefika kituoni hapo na ametakiwa atoe…
Taarifa ya bunge kuhusu afya ya Spika Job Ndugai na habari zinazosambazwa mitandaoni
Kumekuwa na baadhi ya taarifa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu afya ya spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai kuwa ni mgonjwa ndiomaana haonekani katika shughuli za bunge. Leo…