Zitto kabwe ahojiwa na Polisi kwa Dakika 138
Asubuhi June 08 2016 Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ameitikia wito kutoka kwa mkuu wa upelelezi kanda maalum ya Dar es salaam. Zitto…
VIDEO: Mabasi ya mwendokasi zaidi ya 30 yamepata ajali, milioni 90 zimetumika kuyatengeneza
Ajali za mabasi ya mwendokasi Dar es salaam zimeendelea kumake headlines ambapo leo June 8 2106 mbunge wa viti maalum CCM Amina Mollel amelifikisha bungeni na kutusaidia kuipata idadi ya…
Maamuzi ya mahakama Arusha kuhusu kesi ya aliyemtukana Rais Magufuli facebook
Kesi inayomkabili Isaac Abakuk ambaye alishitakiwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook imesikilizwa leo June 08 2016 kwenye Mahakama Kuu kanda ya Arusha ambapo maamuzi yametolewa ambapo mshitakiwa ametakiwa…
Siku 20 baada ya ndege ya Misri kupoteza mawasiliano, leo June 8 nyingine imetua Uzbekistan kwa hofu ya bomu
Leo June 8 2016 CCTV Africa wameripoti habari nyingine tena inayohusu ndege ya Misri iliyokuwa inatoka Cairo kuelekea Beijing China, ikiwa zimepita siku 20 toka ndege ya EgyptAir Flight 804…
VIDEO: Kwa mwaka mmoja watu 3,936 wamefariki kutokana na ajali Tanzania
Bunge la 11 mkutano wa tatu kikao cha thelathini na tisa limeendelea tena bungeni Dodoma leo, katika kipindi cha maswali na majibu Swali la mbunge wa Mtambile Masoud Salim lilikuwa..>>>'Kumekuwa…
Habari kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania June 08 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini, https://twitter.com/millardayo/status/740381562991202304 https://twitter.com/millardayo/status/740383043421102081 https://twitter.com/millardayo/status/740384415646420992 https://twitter.com/millardayo/status/740385704971272192…
Ndani ya siku 182 Afrika imepata pigo kwa kumpoteza kocha Stephen Keshi na mkewe
Mchezaji wa zamani na aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles Stephen Keshi amefariki dunia, taarifa za Keshi kufariki dunia zimeingia kwenye headlines kuanzia asubuhi ya June…
Video: Picha za hatari ambazo zimeshawahi kupigwa na watu ..
Mtu wangu Kila mtu kwenye dunia hii anapenda kuonyesha umaridadi wake katika masuala ya kupiga picha, unaweza ukawa umeshaona picha nyingi zikiwa katika mapozi mazuri na katika style za tofauti…
VIDEO: Wapinzani kusoma Bajeti ‘kimtindo’, Operesheni ya CHADEMA mikononi mwa polisi
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 8, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 8 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…