#AUDIO Ni marufuku kuvaa nguo fupi Sanya Hoye, sheria za viboko na faini zimetajwa
Moja ya matukio ambayo yanamake headlines katika Wilayani Siha Kilimanjaro ni pamoja na adhabu zinazotolewa kwa wale wanaovunja sheria, kingine ni kwamba kijiji cha Sanya Hoye kimepitisha adhabu ya faini…
VideoFUPI: Jose Mourinho alivyotambulishwa na Man United kuchukua nafasi ya Louis van Gaal
Uongozi wa Man United leo May 27 2016 umetangaza rasmi kumpa mkataba wa miaka mitatu, kocha wa zamani wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho wenye kipengele cha kubaki katika klabu…
VideoFUPI & PICHA 15 : Waziri Mkuu, Majaliwa kafanya ziara ya Kushtukiza kituo cha mabasi ya haraka
May 27 2016 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa amefanya ziara ya kushtukiza kwenye kituo kikubwa cha mabasi yaendayo haraka Kimara Mwisho Jijini Dar es salaam na kuyajibu maswali ya wananchi wanaotumia…
Rais Magufuli kujaza vijana Serikalini, amegudua haya kwa vijana..
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya stori kubwa…
JPM asema mazito, wadaiwa vyuo vikuu kukamatwa kirahisi
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Ukiniuliza movie gani kali ya kutazama leo Cinema Dar es salaam….(+TRAILER)
Kama wewe ni shabiki wa movie za X Men, sasa time hii wamekuja na movie mpya iitwayo X Men- Apocalypse ambayo ndani wameshiriki mastaa wakali akiwemo, Professor X, Magneto, Beast…
Video:Baada ya South Africa kuplay muziki wa nyumbani kwa asilimia 90, Diamond kayaongea haya
Baada ya South Africa kusema kuwa Media za Nyumbani zitaplay muziki wa nyumbani kwa asilimia 90, msanii toka Label ya WCB Diamond Platnumz amefunga mawazo yake. Akizungumza na Ayo TV…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 27, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 27 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Kavumbagu kaeleza sababu ya Azam FC kutofanya vizuri katika mechi za mwisho wa msimu
Najua kuna idadi kubwa ya mashabiki wa soka la Tanzania, ambao wanajiuliza kwa nini klabu ya Azam FC ilipoteza mechi zake za kuelekea kumaliza msimu wakati ilikuwa ikifanya vizuri, ila…
Mr II Sugu kuhojiwa na CloudsTV kwa mara ya kwanza toka amalize tofauti
Joseph Mbilinyi ameanza ku-trend kwenye mitandao ya kijamii kupitia tangazo linaloonyesha atahojiwa na CloudsTV Ijumaa May 27 2016, ameanza kutrend hata kabla Interview yenye haijaonyeshwa na hii ni kutokana na…