PICHA 9: Kutoka Hispania Mtanzania Farid Musa anaendelea poa Deportive Tenerife
Najua watanzania wengi wapo katika matumaini na kumuombea winga mshambuliaji wa Azam FC anayeichezea pia timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Farid Musa , ambaye kwa sasa yupo Club Deportive…
VideoMPYA: Mabibi na Mabwana ni zamu ya kuiona hii mpya ya msanii wa Ommy Dimpoz
TV zinazidi kupokea video mpya za muziki wa bongofleva ambapo leo May 8 2016 iliyoachiwa ni hii ya msanii kutoka lebo ya PKP ya Ommy Dimpoz aitwae Nedy na single…
Matokeo ya Simba vs Mwadui FC leo May 8 2016 Taifa DSM, yameipa Ubingwa wa Ligi Kuu Yanga
Baada ya klabu ya Yanga kuhitaji point tatu ili itangazwe kuwa Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania msimu wa 2015/2016 , May 8 2016 ilikuwa siku ya mchezo kati ya Simba…
Picha14: Shilole alivyoisherehekea siku ya Mama Duniani na Wazee wasiojiweza Mwanza.
Leo May 8, 2016, Ulimwenguni kote tunaadhimisha siku ya Mama Duniani na kila mmoja anaisherehekea hii siku kwa namna yake, wakati wewe ukiwa na Bi mkubwa wako home mnafurahi msaniii…
Pichaz 18: Kutoka kwenye Party ya Kiss By Wema Sepetu
Mrembo kutoka kiwanda cha Filamu nchini Tanzania Wema Sepetu alikutana na watu wake Usiku wa May 7 2016 kwenye Kiss By Wema Sepetu Party, kama uliikosa hii usijali mtu wangu millardayo.com na…
Jukwaa Huru la Wazalendo Tanzania limeguswa na hujuma kwa Rais Magufuli
Mei 8 2016 Jukwaa huru la Wazalendo Tanzania limekutana na Waandishi wa Habari Dodoma ili kutoa tamko lao kuhusu hujuma dhidi ya Rais John Pombe Magufuli. Katibu wa jukwaa hilo…
Itazame List 10 ya gari za thamani kubwa wanazomiliki Mastaa wa Rap Duniani
Kama ni mpenzi wakuafuatilia maisha ya mastaa wa Rap Duniani na vitu wanavyomiliki, basi hii isikupite, May 08 2016 nimekuwekea list ya mastaa wa Rap wanaopush ndinga kali na za…
Top 10 news kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania leo May 08 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
VIDEO: Kazi inaendelea na matunda yanakuja, Harmonize kazawadiwa gari na WCB
Baada ya show zake ambazo hazifiki hata 15 toka ametusua kupitia single yake ya Aiyolamkali huyu kutoka WCB ameonyesha bidii ikiwekwa popote kuna matunda. Ni gari aina ya Mark X…
VIDEO: Siku moja baada ya kumpoteza Patrick Ekeng uwanjani, haya ni matukio 9 ya kusikitisha katika soka
Bado dunia ya soka inakumbuka na kuomboleza kifo cha staa wa soka wa Cameroon aliyekuwa anakipiga katika klabu ya Dinamo ya Romania Patrick Ekeng ambaye alianguka uwanjani May 6 2016…