Picha 15: Vikao vya Bunge vimeanza leo, haya ndio yaliyojitokeza ndani hadi nje
April 19 2016 Mkutano wa tatu wa Bunge la kumi na moja umeanza, na lengo lilikuwa ni ni kujadili na kupitisha bajeti ya Serikali. Katika baadhi ya sekta zilizojadiliwa ni…
Maamuzi ya Rais Magufuli kuhusu Mkurugenzi wa jiji Dar es salaam
April 19 2016 ni siku ya uzinduzi wa Daraja la Kigamboni ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amelizindua rasmi daraja la Kigamboni na…
PICHA 10: Hadi kufikia March 2016 hivi ndivyo vinatajwa kuwa Viwanja 10 bora vya ndege Duniani
Kwa mwaka wa nne mfululizo uwanja wa Ndege wa Singapore Changi umekuwa ndio uwanja wa ndege bora zaidi duniani ukishika nafasi ya kwanza na ulichukua tuzo za SkyTrax World Airport…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 19 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 19 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Ukimuuliza Chicharito amzungumzie Louis van Gaal kwa sasa atakujibu kwa sentensi hizi
Mshambuliaji wa zamani wa Man United ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani Javier Hernandez Chicharito, amerudi tena kwenye headlines baada ya kumzungumzia kocha wa Man United Louis van…
VIDEO: Dakika 15 za Prof Jay alivyokutana na wananchi wake wa Ruaha April 16 2016
Mbunge wa jimbo la Mikumi Joseph Haule ambaye wengi tunamfahamu kama Prof Jay Jumamosi ya April 16 alikutana na wananchi wake wa Ruaha kujua matatizo na kero zao kabla ya…
Fabregas kaweka wazi kosa lililomuondoa Jose Mourinho Chelsea, lakini bado wanawasiliana
Kiungo wa kimataifa wa Hispania anayeichezea klabu ya Chelsea ya Uingereza Cesc Fabregas amefunguka na kueleza lililomfanya kocha wa zamani wa klabu ya hiyo Jose Mourinho atimuliwa kazi mwezi December, licha ya…
Rais Magufuli ateua mwingine Ukuu wa Wilaya
Baadhi ya wilaya ziliachwa wazi na Wakuu wa Wilaya baada ya kuteuliwa katika nafasi zingine za uongozi, April 18 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli…
PICHA 5: Anayetuhumiwa kumtukana Rais Magufuli amepata dhamana
Baada ya Mahakama ya hakimu mfawidhi Arusha kukaa chini na kupitia hoja mbili zilizotolewa na upandea wa mashtaka na mshitakiwa Mahakama imeridhwa ia kutoa dhamana kwa mtuhumiwa Isaac Abakuki anayetuhumiwa…
Baada ya Makonda kuteuliwa Mkuu wa Mkoa Dar, leo Rais Magufuli kamteua Mkuu wa Wilaya K’ndoni
Nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni iliachwa wazi baada Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kumteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Paul Makonda kuwa Mkuu wa…