Liverpool waliishinda Borussia Dortmund kabla ya mechi kutokana na rekodi hii
Siku moja baada ya michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kuchezwa na kushuhudia vilabu kadhaa vikiaga mashindano hayo, usiku wa April 14 ilikuwa ni zamu ya kushuhudia robo…
Habari 6 kubwa kwenye TV za Tanzania April 14 2016
Kama wewe ni mpenzi wa kufuatilia kinachoendelea katika taarifa za habari kupitia TV za Tanzania na ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya April 14 2016 usijali millardayo.com inakupatia fursa ya…
AUDIO: Baada ya Simba kutolewa Kombe la FA na Coastal Union, huu ndio msimamo wao kwa sasa
Baada ya klabu ya Simba kuondolewa katika michuano ya Kombe la FA kwa jumla ya goli 2-1 na klabu ya Coastal Union ya Tanga, mengi yamekuwa yakizungumzwa kuhusiana na utulivu…
VideoMPYA: Rayvanny anatualika kuitazama video yake mpya ‘Kwetu’
Rayvanny ni msanii mwingine kutoka WCB lebo iliyoanzishwa na Diamond Platnumz ambapo baada ya single yake 'kwetu' kulia sana kwenye Radio, ni zamu ya kuiona video yake ambayo imefanywa na director Godfather, ukishaitazama…
PICHA 8: Mr Blue kafunga ndoa na mama watoto wake
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Kheri Sameer ambaye wengi tumemzoea kwa jina la Mr Blue, leo April 14 2016 ameingia kwenye headlines baada ya kupost picha katika mitandao ya kijamii…
Pep Guardiola kamuomba msamaha Cristiano Ronaldo, kisa?
Siku moja baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kuweka wazi kuwa angependa Real Madrid icheze na Benfica hatua ya nusu fainali…
Rais Magufuli ametengua tena uteuzi wa mtendaji mwingine wa Serikali
April 14 2016 imetolewa taarifa kutoka Ikulu na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi ikieleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa…
VIDEO: Mbwa kapewa jina la Ronaldog kisa ni uwezo wake wa kuuchezea mpira
April 14 2016 kama utakuwa ni mfuatiliaji wa vituo vya tv kama BBC najua utakuwa umeona video ya Ronaldog, mbwa mwenye uwezo wa kuuchezea mpira, Ronaldog ni mbwa ambaye alinunuliwa…
Mwenendo wa Jengo la Machinga Complex umesababisha Waziri wa Magufuli kutoa maamuzi haya
April 14 2016 yamefanyika maadhimisho ya Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania ambapo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 'Tamisemi', George Simbachawene amepata fursa ya kuzungumza na akatoa…
Breaking: Mahakama Dar imewaachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Tanesco William Mhando na mkewe
Kesi iliyokuwa ikiwakabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, wameishinda leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam ambapo walikuwa wakituhumiwa…