PICHA 7: Rais Magufuli na Rais Kagame walivyoweka baraka zao kwenye daraja la Rusumo
Ni safari ya kwanza ya nje ya nchi kwa Rais Magufuli toka alipoteuliwa kuwa Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania October 2015, kasafiri kwa gari kwenda Rwanda ambapo kwenye…
Unakumbuka ujenzi wa gorofa la mamilioni chini ya kiwango Dsm? Mwanasiasa amefikishwa Mahakamani leo
Ujenzi wa majengo ya ghorofa yaliyo chini ya kiwango yaliripotiwa katika jiji la Dar es salaam miaka ya nyuma iliyopita ambapo kariakoo kulikuwa na ghorofa 64, taarifa nyingine ilikuwa ni…
Kwa mnaosubiri mechi ya Yanga vs Al Ahly ya Misri, kuna taarifa nyingine hapa
Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young Africans leo April 6 kupitia kwa afisa habari wake Jerry Muro ameongea na vyombo vya habari na kuelezea taarifa za mchezo wao wa klabu…
Kauli ya Simba kuhusu golikipa wao kufungiwa miaka 10 kucheza soka na TFF
Bado headlines za uongozi wa klabu ya Simba kuendelea kueleza hisia zao za kutofurahishwa na shirikisho la soka Tanzania TFF na bodi ya Ligi jinsi wanavyopanga ratiba ya Ligi Kuu…
VIDEO: Maua asimulia alivyofukuzwa na mwenye nyumba wakati anaanza kuishi Dar
Kutana na Maua, mwimbaji wa bongofleva mmiliki wa hit single 'mahaba niue' ambayo ilishika nafasi ya kwanza kwenye CloudsFM Top 20 March 2016, kwenye hii video hapa chini anatuelezea moja…
Idara ya muziki KissFM /TV Kenya imetoa majina 6 ya Wasanii wa bongofleva wanaotamba sana kwao
Tuna uhakika muziki wa bongofleva una nguvu na unachezwa sana kwenye Radio na TV za Kenya lakini tukisikia kutoka kwa wenye media wenyewe ndio inakua fresh zaidi ndio maana nakukutanisha…
MpyaMpya: Zile nyimbo za Uganda zenye maneno machache ya Kiswahili – Winnie Nwagi ‘musawo’ (Video)
Hapo Uganda kumekuwa na waimbaji wakali kama Aziz Azion ambao walifanikiwa kuvuka boda vizuri na kuwafikia Watanzania wengi kwasababu walichanganya kiswahili kidogo kwenye nyimbo zao, February 2016 iliachiwa hii video…
FULL STORY: Mkuu wa wilaya alivyowapeleka Polisi Watangazaji waliomuigiza Redioni siku ya Wajinga
Siku ya kwanza ya mwezi April kila mwaka huwa ni siku ya Wajinga duniani na kila mmoja anaeifahamu hii siku huwa anazishtukia baadhi ya habari na wengine huwa wanaifanyia mzaha…
Vanessa Mdee analipwa kila muziki wake unapochezwa kwenye Radio na TV yoyote South Africa
Kwenye dunia ya sasa Wasanii wa muziki pia wanayo nafasi ya kulipwa au kujiingizia pesa kutokana na vyanzo mbalimbali na hiyo yote ni kutokana na muziki wao ndio maana sio…
Augustino Mrema kapatikana, kaongea kwa mara ya kwanza toka kesi na Mbatia imalizwe… zile milioni 40 je?
Mahakama kuu kanda ya Moshi Kilimanjaro imeridhia makubaliano yaliyofikiwa kati ya Mbunge wa Vunjo James Mbatia (NCCR) na aliyekua mbunge wa jimbo hilo Agustino Mrema hivyo Mahakama chini ya jaji anayekua anasikiliza…