Watanzania Navy Kenzo wameingia kwenye TOP 10 ya Afrika
List ya hit single kuzidi kuongezeka kutoka kiwanda cha Bongo Fleva inazidi kuchukua nafasi kila siku, kwa sasa imekuwa kawaida kwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva kuingia gharama za…
Man United yaibuka na ushindi dhidi ya FC Midtjylland, Full Time 5-1 (+Video)
Klabu ya Man United ambayo kwa kawaida imezoeleka kuingia na kufanya vizuri katika michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya, kiasi hata cha kuwa inafikia hatua ya fainali ya michuano hiyo,…
List ya miji 10 inayoongoza kwa foleni ya magari Duniani
Huenda ukawa umezoea na kuboreka na foleni ya jiji la Dar Es Salaam ambalo wakati mwingine inaweza kukugharimu kwa zaidi ya saa moja kukaa katika foleni kutoka Tegeta hadi Posta, hususani…
Dakika mbili za majibu ya Jerry Muro kwa wanaosema amewatukana Simba
Baada ya mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Haji Manara kumtuhumu afisa habari wa Yanga kuwatukana Simba na viongozi wake, Amplifaya ya Clouds FM ilimtafuta…
KIFO: February 25 2016 Tanzania imempoteza mkongwe mwingine wa muziki
Ni Kassim Mapili... mwimbaji mkongwe lakini hata kijana wa sasa hivi atakua amesikia sana moja ya nyimbo zake kubwa za wakati wote.... ina maneno..... 'napenda nipate lau nafasi.... nipate kusema…
Kutana na majibu ya Diamond kuhusu kukopi idea ya video, fursa 10 TZ na nyingine za headlines
Kwenye 255 ya XXL Clouds FM February 25 2016 stori za burudani zilizochukua nafasi ni pamoja na hii ya Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds MEDIA Ruge Mutahaba kuongelea Fursa 10 kupiti 360…
Ripoti ya mpiga picha wa Mwananchi kutaka kunyang’anywa kamera na Mh Wassira Mwanza…(+Audio)
Moja kati ya stori kubwa za leo kwenye Amplifaya ya Cloudsfm ni hii ya mpiga picha wa Gazeti la Mwananchi kwa upande wa Mwanza Michael Jamsoni kutaka kunyang’wanywa kamera na…
Mume kafunga safari kutoka Dodoma mpaka Dar kumtafuta Mke aliyekimbia na watoto
Feb 25 2016 kwenye Hekaheka ya Clouds FM ni story inayomuhusu Simba Hassan mkazi wa Dodoma, Baba wa watoto wanne aliyekuja Dar es salaam kumtafuta mke wake aliyetoroka nyumbani akiwa…
Alhamisi ya TBT: video 10 za kitambo bongo flevani.. Belle 9, Matonya, Alikiba, Chidibenz, Diamond na Mr. Blue
Leo ni alhamisi February 25 2016 na tunajua kwenye ulimwengu wa leo siku hii imepewa cheo cha TBT yaani siku ya kukumbuka matukio ya zamani ambapo millardayo.com inakukumbusha au kukuonyesha video…
Malalamiko ya Simba kuhusu matusi ya Jerry Muro
February 25 mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Haji Manara ameingia kwenye headlines baada ya kuamua kuweka wazi lililo moyoni mwake na kumtuhumu afisa habari wa…