Rais Magufuli kawasimamisha wengine watano leo kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha..
Moja ya ahadi kubwa alizoziweka Rais Magufuli tangu ameanza kazi na Serikali yake ya awamu ya tano iko ya kubana matumizi na kukabiliana na ubadhirifu. Taarifa nyingine imenifikia kutoka Ikulu…
Shabiki alivyomvamia Justin Bieber chumba cha kubadilishia nguo… (Video)
Kila mtu amekuwa na ushabiki na staa ama mtu yeyote ambaye amekua akivutiwa naye kwa kile anachokifanya. Shabiki huyu mwanamke wa Justin Bieber aligeuka kivutio wakati wa shoo ya Ellen…
Kutoka Mahakama Kuu Mwanza, nina mawili kwenye hukumu kesi ya Ester Bulaya kupingwa Ubunge..
Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani na Rais wa Tanzania ulifanyika October 25 2015, baada ya hapo matokeo yakatoka na kukawa na stori mfululizo kuhusu ishu ya matokeo ikiwemo Wabunge wengine…
Furaha nyingine ndani ya familia ya mwanasoka Wayne Rooney na mkewe Coleen..
Staa wa Manchester United Wayne Rooney na mke wake Coleen Rooney wameongeza furaha ndani ya familia yao baada ya kupata mtoto wao wa tatu. Wawili hao ambao tayari walikuwa na…
‘Take Kiss’ ya Di’Ja ndani kamshirikisha Babby Fresh..Video
Di'Ja kutoka mavin Records ameachia Video ya ngoma yake mpya 'Take Kiss' ndani akiwa kamshirikisha msanii mwenzake Baby Fresh. Karibu uitazame hapa Video yenyewe ambayo imeandaliwa na Adasa Cookey …
Madee atachoma moto gari? Clouds TV kimataifa? comments zinamuuma Idris? .. (+Audio)
Ilikuwa ahadi, ikabeba headlines mitandaoni kwamba Rais wa Manzese, Madee ambaye alisema iwapo klabu ya Arsenal itafungwa yuko tayari kuchoma moto moja ya magari yake. Matokeo ikawa hivyohivyo, akatafutwa kama…
Hekaheka na stori nzima ya mwanamke aliyekutwa ndani ya shimo Dar na kuhisiwa msukule.. (+Audio)
Hii stori imekuwa kubwa sana mitandaoni, picha zimesambaa zikionesha mwanamke mmoja aliyekutwa ndani ya shimo maeneo ya Kimara Dar. Timu ya Leo Tena imefika kwenye tukio na imesimuliwa kila kitu jinsi…
Mabibi na mabwana, mrembo Yemi Alade kaileta ‘Na Gode’ ya kiswahili kwenye video yake.. (+Video)
Wiki chache zilizopita staa wa Nigeria Yemi Alade aliachia video ya ngoma yake ya 'Na Gode' ambapo ameimba kwa kiswahili. Staa huyo karudi tena kwenye headlines za burudani baada ya kuachia…
Headlines za Idris Sultan na mrembo Wema Sepetu kwenye ukurasa mwingine, leo yameandikwa ya ujauzito..
Kumekuwa na uvumi mkubwa kuwa Idris Sultan na Wema Sepetu wana uhusiano wa kimapenzi na pengine very soon wawili hao watamkaribisha duniani mtoto wao wa kwanza! Kama wewe ni miongoni…
Vinara wa uhamiaji haramu, Waumini wamkataa Sheikh, Majipu NEMC, Uchaguzi Z’bar…MAGAZETI
MTANZANIA Waumini wa Kiislamu mkoani hapa wamemtaka Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zubeir, kutomrudisha madarakani aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu kwa madai kuwa anachangia kurudisha nyuma maendeleo…