Hatua nyingine kwa staa wa tennis Andy Murray baada ya ushindi wa Australian Open..
Staa wa tennis duniani anayekamata nafasi ya pili kwa ubora Andy Murray amemshinda raia wa Australia Sam Groth na kufika raundi ya tatu ya mashindano ya tenisi ya Australian Open.…
Wafungwa walia chakula kibovu, Serikali yakanusha kauli ya Rais, GPA yafutwa..MAGAZETINI
NIPASHE Wafungwa wanaotumikia vifungo mbalimbali katika gereza kuu la Lilungu, mkoani Mtwara, wanakabiliwa na hali ngumu kimaisha kutokana na kupewa chakula kibaya na huduma mbovu za vyoo hivyo kutishia kuanzisha…
Nimekusogezea Tweets 10 zilizopewa uzito wa juu ndani ya Magazeti ya leo January 21
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Jipu uhamiaji? Matokeo sekondari? ya Z’bar? mvua na mafuriko? >> Stori kubwa (+Audio)
Uchambuzi wa stori za MAGAZETINI umefanyika kwenye show ya Powerbreakfast redio Clouds FM, hapa nina nukuu ya stori chache kubwa. Mfumo wa GPA waondolewa kwenye matokeo ya kidato cha nne…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 21 2016 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
Alhamisi January 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Wako wengine wakali wanne wanaoweza kuibeba Ballon d’Or ukiachana na Ronaldo na Messi …
January 20 imenifikia list ya majina manne ya wachezaji wanaopewa nafasi ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon d'Or, baada ya Messi na Ronaldo. Ikiwa ni siku 9…
Video ya magoli ya mchezo wa JKT Ruvu Vs SIMBA VPL 2015/2016, Full Time 0-2
Mechi za Ligi Kuu soka Tanzania Bara ziliendelea Jumatano ya January 20 kwa michezo mitano kupigwa, uwanja wa Taifa Dar Es Salaam, klabu ya JKT Ruvu ilikuwa mwenyeji wa Simba…
Kauli ya kwanza ya Mkwasa, baada ya Canavaro kujiondoa Taifa Stars (+Audio)
Baada ya headlines nyingi kuandika juu ya uamuzi wa aliyekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Nadir Haroub Canavaro kutangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa, baada ya…
Mtanzania mmoja pekee amebaki kwenye Urban Hit Top 10 ya Trace TV
Tayari nimekukusanyia ngoma kali zilizochezwa kwenye kituo cha kimataifa Trace Tv kama Urban Top 10, katika list hii ni Mtanzania Vanessa Mdee ndio pekee katokelezea. Kwenye chart iliyopita mambo yalikuwa…
Hii hapa ripoti ya Daktari feki kutoka Hospitali ya Sekouture Mwanza.
Ripoti iliyonifikia kutokea Mwanza ni hii ya kukamatwa kwa Daktari feki kwenye hospitali ya Mkoa ya Sekouture Mwanza, mtuhumiwa anajulikana kwa jina la David Igwesa amekamatwa baada ya kuomba pesa…